Kukiri kungonoka

Hapo haujaoa ushaanza kuchakachua nje.je ukioa?
 
awww what a harsh punishment !! he actually wanted total confession for something that had occured in the past, we should learn to let bygones be bygones and i guess this man was just looking for an evidence to rid himself of that cheating wife, who might have cheated only once, yes it had costed her marriage but also it had given this man anguish for all those years that he was looking just for that evidence, i suppose people should just let go...it happens jamani, once someone anakiri kama kweli una kifua songeni mbele na maisha yenu, ubinadamu kaazi kwelikweli
 

Evidence first... Apology later
 
Kataa Mpaka Kifo kitakapowatenganisha!

hana ushaidi wala nini! Kataa Kataa Kataa

mwache abaki na hisia tu - Life is not FAIR!
 
Kaka usithubutu kukiri itakula kwako
 


Hata ningekuwa mie......ningekushauri unidanganye kuwa ni imani tu na si kweli..........huwezitamani mwanamke mwingine zaidi yangu............ mie tu ndo mwenye kukamilisha maisha yako, mie tu ndo mwenye kijungu safi.........mie tu ndo nnayekupa furaha..mie tu.mie tu ndo kila kitu.........Ntaiasi imani yangu na kukufuata wewe kama tulivyoambiwa na vitabu vitukufu .......... uendapo nami nitakwenda, utakapoishi nami pia nitaishi, watu wako wewe watakuwa watu wangu,,,, MUNGU wako atakuwa ndiye MUNGU wangu............maisha yanaendelea

Hiki kitu cha Malawi....................daaaah
 

:bump:Mie ndo mana sijaona mwingine zaidi yako humu ................ labda MW1 tu ........... :focus: ............ nyamayao najua umesamee
lakini hiyo shida tunayopata maana kitu kidogo tu unakumbushia ...............marta sijui unipitie juu hahah
hii kitu inaumiza sana na huyu jamaa akikubali tu kaula ..........imenikumbusha ule wimbo wa shaggy ISN'T ME msikilize hapa
YouTube - "It Wasn't Me" by Shaggy (feat. Ricardo Ducent) :smile-big:
 

Swadakta ............. umenena MJ1 ............:cool2: navaa na mawani kabisa wasinitamani ............. just for U .........:smile:
 

Nsiande....... si unajua mchovyia asali hachovyi mara moja lakini ....... kuna mdada katoka nje sasa anawauzi wenzie ati afanyeje ili babaK amfanyie alioyakuta huko nje .................... sasa hapo kuna kuchovya mara moja :nono: aliyoyakuta huko njee
 
Usirogwe kusema kwa mwanamke eti umecheat unajichimbia kaburi. Wanawake hawana koromeo na ndio maana huwa waropokaji sana. donge utakalo mpa atakuja kuktapikia ukiwa umenogewa na chakula na utajutia maisha. Nitafute nikupe somo la maana wanawake si watu wa kusamehe hata siku moja huwa wanapotezea kwa muda tu. Ni kama volcano iliyolala ikiamka inakuja na kasi kama ile ya milima ya Indonesia si unashuhudia mwenyewe?
 


@Baba_Enock

Kataa Mpaka Kifo kitakapowatenganisha!

hana ushaidi wala nini! Kataa Kataa Kataa

mwache abaki na hisia tu - Life is not FAIR








sikubaliani na we kabisa:nono::nono::nono::nono::nono:
 


Exactly, excellent, keep it up, vemaaaaaa, yaani is like ur with me, katu katu kama demu hajakushika live, piga ua, kufa na kamba shingoni, huku umweleze with macho makavu kama kibaka mwizi, sema hapa mara 100 kidogo huku ukimalizi mpenzi every secs, meanwhile unamwambie ulivyo mrembo niende kwa yule,..? show her she is only ur queen, hawa hawaambiwagi ukweli as long hajakushika live, ooooohhh yaani ndio mwisho ukisema ukweli, sema noooooooooooo baby, then ur a really man, huu ndio ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…