KERO Kukithiri kwa shida ya mtandao wa simu

KERO Kukithiri kwa shida ya mtandao wa simu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Siku hizi kumekuwa na shida sana ya mitandao ya simu na inaleta kero na hasara kubwa sana kwa sisi watumiaji. Hasa mtandao wa Vodacom unakuta huwezi kupiga simu wala kutuma meseji.

Sasa najiuliza hizi hasara tunazopata wateja watafidia vipi?! Na vile vifurushi tunavyojiunga na baadae kukuta mtandao aufanyi kazi wanakata!!

Huu si wizi wanatufanyia, tunaomba TCRA na mamlaka husika zifuatilie hili tatizo.
 
Very disturbing, halafu si TCRA wala mtandao husika hawajatoa statement
 
Back
Top Bottom