DOKEZO Kukithiri kwa wahamiaji haramu Tanzania hasa kutoka Malawi

DOKEZO Kukithiri kwa wahamiaji haramu Tanzania hasa kutoka Malawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

FRJ255

Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
5
Reaction score
6
Maeneo mengi ya Tanzania mfano Dar es Salaam na Pwani kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wahamiaji haramu hasa watu kutoka nchi ya Malawi ambapo wameathiri sana ajira na vibarua kwa wazawa. Mfano kuna kampuni ya ulinzi ipo Dar es Salaam, 70% ya walinzi ni Wamalawi

Kuna baa na lodge, shule na mahotel mengi wafanyakazi ni Wamalawi na nyingi zipo Kawe, Mbezi beach, Tegeta, Kinondoni nk wafanyakazi wengi ni Wamalawi huku wenyeji tunakosa nafasi.

Serikali iliangalie jambo hivi maana wanaingia kwa kinyume na sheria nchini.
 
Maeneo mengi ya Tanzania mfano Dar es Salaam na Pwani kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wahamiaji haramu hasa watu kutoka nchi ya Malawi ambapo wameathiri sana ajira na vibarua kwa wazawa. Mfano kuna kampuni ya ulinzi ipo Dar es Salaam, 70% ya walinzi ni Wamalawi

Kuna baa na lodge, shule na mahotel mengi wafanyakazi ni Wamalawi na nyingi zipo Kawe, Mbezi beach, Tegeta, Kinondoni nk wafanyakazi wengi ni Wamalawi huku wenyeji tunakosa nafasi.

Serikali iliangalie jambo hivi maana wanaingia kwa kinyume na sheria nchini.
Ukienda pale ububgo maziwa kuna guest imeandikwa Dm lorge wafanyakazi wake 2 ni wamalawi hata kiswahili hawajui
 
Uku kagera waganda hawajawai kuwa wahamiaji haramu ila warundi sasa ndo wanaitwaga wahamiaji haramu sijui walitukosea nn? Kagera sugar manamba kwenye mashamba ya miwa ni warundi tupu.
 
Acha waje ili tuchangamke kama kenya....maana kizaz cha tz ni bongo lala na uchawa tu
 
Vyombo vya usalama kazi yao ni kunyamazisha upinzani
 
Michael Kamaliza na Austin Shaba probably walikuwa Wamalawi.
We are treading a dangerous path tukianza kuwaita hawa watu " wahamiaji haramu"
 
Sote ni ndugu mipaka ilo wekwa na wazungu isitufanye maadui,

Waarabu,wahindi wasomali,wachina hao ndio wahamiaji haramu
 
Back
Top Bottom