Naombeni mnipatie ushauri. Nimewakodisha Prado kampuni ya Travel Partner, wao wanaazimaga magari ya watu kwa kuwa hawana magari ya kutosha kukidhi mahitaji ya wateja wao. Baada ya kunisumbua sana kulipa, nilipitia mkataba nikagundua hauna clause inayoeleza kwamba watakuwa wananilipa kila mwezi.
Gari wamelitumia kwa miezi sita na kila siku ni 100k lakini wamenilipa ml 5 tu kwa kuwafuatilia sana na nimewanyanganya baada ya kukaa nalo bila kunilipa hata senti 1 kwa miezi yote 6. Mmiliki wa hii kampuni ni muhuni, wateja wake wanamlipa lakini yeye anaona taabu kunilipa mimi kama mteja wake. Nimegundua siko peke yangu ninayefanyiwa uhuni huu. Naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate hela yangu.
Gari wamelitumia kwa miezi sita na kila siku ni 100k lakini wamenilipa ml 5 tu kwa kuwafuatilia sana na nimewanyanganya baada ya kukaa nalo bila kunilipa hata senti 1 kwa miezi yote 6. Mmiliki wa hii kampuni ni muhuni, wateja wake wanamlipa lakini yeye anaona taabu kunilipa mimi kama mteja wake. Nimegundua siko peke yangu ninayefanyiwa uhuni huu. Naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate hela yangu.