kukodisha Restaurant dar

kukodisha Restaurant dar

mabwana

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
307
Reaction score
316
wanajamii nimenunua machine za restaurant kwa $ 10 000 na custom nimelipai kama 3m
nia yangu ni kukodisha kwa malipo ya kila mwezi ,
dhamana ya machine inaitajika kama ni nyumba au pesa
je kuna mawazo yoyote kutoka kwa wanajamii
 
Ndugu mm nina sehemu nataka nifungue restaurant ssa its good kama rukikutana, nione hivyo vitu mkubwa my no 0655 747445
 
Back
Top Bottom