kukojoa damu

karma alvin

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
51
Reaction score
8
habari wana jf. hiki ni kitu gani; nikienda kukojoa napata mauvivu mkojo ukikaribia kuisha pamoja na damu kutoka. je hili ni tatizo gani? msaada wenu tafadhali
 
Pole sana kwa ushauri ukamuone Dr. Nafikiri ni kichocho ( bilharzia
 
Mhh inaweza kuwa kichocho hicho mkuu.. Nakumbuka niliugua nilipokuwa bado mdogo.. Na hiyo ilitokana na kwenda sana kuoga kwenye mito..
 
Kichocho, , stones, STI, Cancer of bladder, UTI ..........................
Kwa kifupi nenda hospitali
 
asanteni ndugu zangu kwa ushauri. nimepima niambiwa nina u.t.i . double R naomba unifahamishe S.T.I inatokana na nini kama unafahamu. samahani lakini.
 
1.Kichocho
2.Kansa ya Kibofu
3.Gromeronephritis

kwani unajiskia Homa?
 
UTI

inatokana Na kufanya Ngono zembe na Mwanamke mwenye wanaume zaidi ya mmoja,

pia Mkojo usiotoka kibofuni, ukikaa sana unapara UTI, so unatakiwa uwe mkojoaji wa mara kwa mara kukwepa UTI

Vyoo vya Umma hasa vile vya kukalia
 
kukojoa damu ni hali ya hatari , wahi hospitalini kwa uchunguzi zaidi.....
 
missM4C, unamaanisha STI au?
Manake UTI hata watoto wadogo wanapata, wameshiriki ngone nzembe wapi
tujitahidi kutokupotosha watu jamani, hii jamiiforum inatembelewa na watu wengi sana


UTI

inatokana Na kufanya Ngono zembe na Mwanamke mwenye wanaume zaidi ya mmoja,

pia Mkojo usiotoka kibofuni, ukikaa sana unapara UTI, so unatakiwa uwe mkojoaji wa mara kwa mara kukwepa UTI

Vyoo vya Umma hasa vile vya kukalia
 
Mi ni nina uzoef na kazi hizo na nafanya kaz hizo cha kukushauli ndugu kama umepima na ukagundua ni UTI nenda kanunue dawa hiz,doxazosin,alfuzosin,ampicillin,amoxy and co-trimax.nina iman zitakuponyesha ugonjwa wako.pia kama utaendelea na tatzo hilo ntafute kwa mengzaid.0759217720
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…