majuto mperungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 394
- 118
kuna tabia ambayo iko sana kwenye maeneo ya vijijini na sehemu ambayo wanaishi kwenye nyumba ambazo hazina vyoo vya ndani...ikifika saa nne anakojoa mtoto kwenye kopo..ikifika saa sita anakojoa dada..ikifika saa nane saa tisa anakojoa BABA...ndio baba na saa tisa..saa kumi anakojoa MAMA kwenye kopo hilo hilo moja alafu ikifika asubuhi mama anatoa kopo na kwenda kumwaga mikojo hiyo..... SWALI LANGU NI JE....kuna matatizo yoyote kiafya kukojoa kwenye kopo moja??????