Kukojoa mara 21 kwa mwezi kwa Mwanaume kunapunguza athari ya kupata Kansa ya Tezi Dume

Mwifwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
48,474
Reaction score
125,866

Imebainika kuwa ku ejaculate angalau mara 21 kwa mwezi kunaepusha na kutopata Prostate cancer ukilinganisha na anaye ejaculate mara 4-7 kwa mwezi.

My Take.
Tuchukue tahadhari kabla ya hatari, kupigwa dole sio poa kabisa
 
Reactions: Lee
View attachment 602468
Imebainika kuwa ku ejaculate angalau mara 21 kwa mwezi kunaepusha na kutopata Prostate cancer ukilinganisha na anaye ejaculate mara 4-7 kwa mwezi.

My Take.
Tuchukue tahadhari kabla ya hatari, kupigwa dole sio poa kabisa

Kwahiyo hapa wanamaaisha kwamba kwa Wastani natakiwa ' nimkojolee ' Demu wangu kila Siku Kigoli changu ' Kimoko / Kimoja ' na nitakuwa sina uwezekano wa kupata hiyo Saratani au? Sasa kwa Sisi wengine ambao kidogo Mwenyezi Mungu ametupa nguvu za Kiume nyingi kama za Nyati na Kifaru ambapo kwa Wastani tu ndani ya Wiki moja huwa ' tunawakojolea ' Wapenzi wetu ' magoli ' 28 wastani wa magoli manne kila Siku tutakuwa katika hali gani ya Kiafya hasa kwa hii aina ya Saratani?

Nitashukuru Mwanamume wa Shoka nikijibiwa ili nijue niongeze zaidi ' dozi ' kwa Mpenzi wangu au nimpunguzie na apumzike.
 
...angalau mara 21 kwa mwezi.

Hapo ni kwa mtu wa kawaida ambaye ana nguvu za kiume za kawaida(hana upungufu au hajazidi), kwa wewe ambaye una zaidi huna budi kujitahidi kufanya zaidi ya hapo ili uwe salama zaidi
 
Ww utakuwa unakinga yako na mke wako mkuu
 
Chamsingi umkojolee atleast mara 21 kwa mwezi so hata kama ukimkojolea hiyo mara 21 kwa siku moja no problem.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…