kalikumutima
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 147
- 46
Ni kawaida mkojo kuja baada ya kumaliza tendo ili kuondoa mabaki ya mbegu kwenye kibofu na kama umechunguza vzr pale unapoanza mkojo kutoka huwa mzito then unafuata wa kawaida
Ni kawaida mkojo kuja baada ya kumaliza tendo ili kuondoa mabaki ya mbegu kwenye kibofu na kama umechunguza vzr pale unapoanza mkojo kutoka huwa mzito then unafuata wa kawaida
Nimepatwa na hofu hivi karibuni ninapokuwa nimekojoa mbegu za kiume baadae unafuata mkojo je tatizo hili linatokana na nini? Imetokea Mara mbili kwa interval ya wiki tatu