Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Thubutu!Tumukua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na wa rais na wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.
Kwa mfano hawa panya road wanaosumbua mijini ni UVCCMTumukua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na wa rais na wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.
Na vijiwe vyao wametundika bendera za CCM.Kwa mfano hawa panya road wanaosumbua mijini ni UVCCM
acha porojo, wanaoteka ni serikaliTumukua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na wa rais na wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.
Inawezekana lakini pia inawezekana chawa wa mama kama alivyosema mwenyewe ukimzingua hawatakubali.acha porojo, wanaoteka ni serikali
Najua, ila nimeandika kibaraza.Paragraph 🐼
Moto unawaka inatakiwa siku moja , hawa watekaji wafanyiwe jambo la history ndo utekaji utakoma, wakipigwa matukio mawili au matatu Heshima itakuepo tuTumukua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na wa rais na wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.
Fafanua kauli hii. Ni lini mwanaccm alitekwa?utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kuna klipu moja iliwahi kutoka huko Dodoma UV CCM wakipewa mafunzo na chombo cha usalama.Moto unawaka inatakiwa siku moja , hawa watekaji wafanyiwe jambo la history ndo utekaji utakoma, wakipigwa matukio mawili au matatu Heshima itakuepo tu
More to come after this.Paragraph 🐼
Ila kusema kweli CCM inaipeleka hii nchi pabaya sana sana!
Wanatakiwa watambue kuwa tuendako wao watakuja kugeuka kuwa wahanga wa haya matukio!
Tumekua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri Serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na wa Rais na Wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.
Kuna klipu moja iliwahi kutoka huko Dodoma UV CCM wakipewa mafunzo na chombo cha usalama.
Kuvipiga marufuku ni ngumu kwa sababu inaonesha kuna faida wanaipata.Haiwezekani uhalifu utokee na kukaliwa kimya au kufanyiwa masihara.
Unankumbusha kuhusu kujitekenyaTumekua tukishuhudia utekaji wa watu nchini vikifanywa na eti wasiojulikana! Hawa wasiojulikana ni watanzania ambao huenda wamejiambatanisha na vyama vya siasa, hata hivyo ni CCM tu ndiyo ina vikundi vinavyojulikana kama Chawa, Uhamasishaji, Wadudu na Green Guard(Umoja wa vijana), hawa huenda wanaweza kuwa wanatumia kauli ya ukinizingua chawa wangu hawatakubali, na tukiangalia utekaji unawakumba mashabiki wa upinzani zaidi kuliko wa CCM.
Kutokana na nilivyoeleza ni vizuri Serikali ikapiga marufuku vikundi vyote hivi wakati huu tunaelekea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na wa Rais na Wabunge ambako kutazuka wimbi la vikundi vya ulinzi.