KUkONYEZA!!!

payuka

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
829
Reaction score
127
Hivi ile sheria iliyotungwa kumkandamiza mwanaume anapomkonyeza mwanamke ilikuja ishia wapi?
Wadada mtusaidie je, nikweli kwamba mwanaume akikukonyeza anaamsha hisia/mshawasho wa kimapenzi?

Nilipokuwa ughaibuni ....kwenye nchi ile kukonyezana ilikuwa jambo la kawaida mno!!!!!
 
Sheria huenda bado ipo na inatambulika, lakini wahusika wenyewe wanafurahia kukonyezwa....! Hivyo, mashtaka hazifunguliwi....!
 

HIVI MWANAUME AKIKONYEZWA AU KUBAKWA NA DEMU INAKUWAJE?!:focus:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…