Kukopa ni umaskini?

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Ndg wana JF, salaam, naomba kukopa ni umaskini? Kwa mfano, tunaambiwa mataifa lenye uchumi mkubwa,ni marekani, ujerumani,japan nk. Vp mbona yana madeni kwenye taasisi za fedha? Kama WB, IMF nk? Uchumi wa haya mataifa unakuwa kwenye nini,..inakuwaje mataifa haya uchumi wao ukidorora mataifa yanayokuwa kiuchumi nayo yatikisike? Mwenye uelewa na mambo haya ya kiuchumi anifafanulie hapa. Ahsanteni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…