Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Habari za sahizi wanajamvi....natumai mnaenjoy weekend.
Naomba mnijuzi haya maswala mawili.
1.Swala la mapenzi a) Napenda kujua kwamba mnapokuwa kwenye uhusiano wa mapenzi moja wenu anapokuwa
na tatizo au kuomba hela ya kuanzisha mradi unamsaidia au unamkopesha?
b) najua sometimes ni vizuri kumsaidia mpenzi wako ila kama bado hamjaoana je huyo
anayeomba msaada hataweza kutumia udhaifu wako wa kumsadia?.Nadhani
kama wanandoa kidogo inaleta uaminifu kiasi flani.
c) Je ni vizuri mpenzi wako kufahamu mshahara wako na matumizi ya hela?
2.Swala la Urafiki : Kuna ule urafiki kati ya mvulana na msichana ila sio wapenzi,sometimes unakuta wavulana
hawana mazoea ya kuwakopa wasichana,ila unakuta msichana anakukopa au ana matatizo ila
kukulipa inakuwa kero lingine na wewe kurudia kumdai ni kama haipendezi ingawa wote
mgekuwa wanaume mgeshika mashati na kulipana na mambo yanaenda vizuri.
Sasa inakuja unapondai mshichana urafiki wenu unaweza ukafa labda awe mwelewa,kwel
baadhi ya wasichana unapomkopesha ukimdai halafu akakulipa ndo urafiki unakufa.
Je mkishafikia hatua hiyo kuna haja ya urafiki wakati matunda ya huo urafiki hayaonekani?
Naomba mnijuzi haya maswala mawili.
1.Swala la mapenzi a) Napenda kujua kwamba mnapokuwa kwenye uhusiano wa mapenzi moja wenu anapokuwa
na tatizo au kuomba hela ya kuanzisha mradi unamsaidia au unamkopesha?
b) najua sometimes ni vizuri kumsaidia mpenzi wako ila kama bado hamjaoana je huyo
anayeomba msaada hataweza kutumia udhaifu wako wa kumsadia?.Nadhani
kama wanandoa kidogo inaleta uaminifu kiasi flani.
c) Je ni vizuri mpenzi wako kufahamu mshahara wako na matumizi ya hela?
2.Swala la Urafiki : Kuna ule urafiki kati ya mvulana na msichana ila sio wapenzi,sometimes unakuta wavulana
hawana mazoea ya kuwakopa wasichana,ila unakuta msichana anakukopa au ana matatizo ila
kukulipa inakuwa kero lingine na wewe kurudia kumdai ni kama haipendezi ingawa wote
mgekuwa wanaume mgeshika mashati na kulipana na mambo yanaenda vizuri.
Sasa inakuja unapondai mshichana urafiki wenu unaweza ukafa labda awe mwelewa,kwel
baadhi ya wasichana unapomkopesha ukimdai halafu akakulipa ndo urafiki unakufa.
Je mkishafikia hatua hiyo kuna haja ya urafiki wakati matunda ya huo urafiki hayaonekani?