john mohammed
Member
- Mar 16, 2014
- 47
- 17
kama ni dalili za ugonjwa ni upi na how to avoid it.Naombeni jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutokuwa na hamu ya kuto kula nenda Hospitali kapime Minyoo na unaweza kunywa chai ya Tangawizi itaweza kukusaidia kutibu hayo maradhi.kama ni dalili za ugonjwa ni upi na how to avoid it.Naombeni jibu
Nenda Hospitali ukapime watajuwa una maradhi gani mwilini mwako john mohammedna endapo hali hii itaambatana na mwasho wa tumbo kutakuwa na tatizo gani la ziada tumboni??na nini cha kufanya ili kuepuka na hali hii??