Habari wakuu,
Mimi ni mjamzito wa wiki 24 kwa sasa naona kuna hali ambayo inanikuta sasa sijui ni kawaida au lah,Mimi nakosa hamu ya kula vitu vyote yani sina hamu ya kula chochote na kwa sababu nasikia njaa huwa nakula ilimradi siku ziende.
Je, hii hali ni ya kawaida kwa wajawazito au ni tatizo?
N.B hii ni mimba yangu ya kwanza
Natanguliza shukrani[emoji1545]
Mimi ni mjamzito wa wiki 24 kwa sasa naona kuna hali ambayo inanikuta sasa sijui ni kawaida au lah,Mimi nakosa hamu ya kula vitu vyote yani sina hamu ya kula chochote na kwa sababu nasikia njaa huwa nakula ilimradi siku ziende.
Je, hii hali ni ya kawaida kwa wajawazito au ni tatizo?
N.B hii ni mimba yangu ya kwanza
Natanguliza shukrani[emoji1545]