Inawezekana anakula chakula kinachomtosha lakini kwa macho yako unaona hana hamu ya kula, ukumbuke tumbo la mtoto si kubwa sana. Hao wanaitwa fussy eaters wanasumbua. Jaribu kumwekea chakula ambacho akisikia njaa anakuja kupick na kuondoka, kama karrots, vipande vichache vya nyama vikavu, matunda n.k.