kabla ya kununuwa na kupima minyoo, ninakushauri tafuna kipande cha tangawizi mbichi kishaukimeze utajisikia hamu ya kulaSiku ya 4 leo kula kwangu kumekuwa kwa shida sana, hata cris mas nimeshindwa kula vizuri, hapa nilipo nina njaa ila hamu ya kula sina kabisa, karibun cku 4 zote nakula Mara 1tu nikila tumbo hujaa, kuhisi kichefuchefu na kuharisha
Msaada wakuu nikapime au ninunue dawa za minyoo..?
kabla ya kununuwa na kupima minyoo, ninakushauri tafuna kipande cha tangawizi mbichi kishaukimeze utajisikia hamu ya kula
Unaweza kupika Supu ya nyama au supu ya kuku ukatia ndani yaek tangawizi mbichi japo gramu 50 ukala pamoja itakufanya uwe unasikia hamu ya kula tangawizi mbichi.Hata supu ya nyama au kuku
Unaweza kupika Supu ya nyama au supu ya kuku ukatia ndani yaek tangawizi mbichi japo gramu 50 ukala pamoja itakufanya uwe unasikia hamu ya kula tangawizi mbichi.
Haya nimekupata mtaalam wa supu.Hio ni best supu, hata kama mtu huna hamu ya kunywa maji dawa ni supu, tangawizi na spicy nyengine inaweka hamu, mgonjwa ambaye pia hana hamu ya kula mpe supu tu,
Yaani hii case ni kama yangu, yaani mimi kula chakula ni kujilazimisha tu, cjawahi sikia njaa, nimezunguka hospital nyingi ni sound tu, hakuna linaloeleweka, hadi nimeamua kuliacha tu, naweza hata kutokula siku mbili, na ninaona sawa!!mkuu wakikujibu unishtue na mimi,bora wewe siku nne, mimi hata sikumbuki ni lini, ila kula kwangu naona kama option, yaani nakuwa sina hamu na chakula chochote muda mrefu, nakula nikiona wengine wanakula, na kwa shida sana
Yaani hii case ni kama yangu, yaani mimi kula chakula ni kujilazimisha tu, cjawahi sikia njaa, nimezunguka hospital nyingi ni sound tu, hakuna linaloeleweka, hadi nimeamua kuliacha tu, naweza hata kutokula siku mbili, na ninaona sawa!! Ukibahatisha kupata dawa, nami nikumbuke.