Miss Curious
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 315
- 497
Naomba kujua kama mwanamke anayekosa hedhi kutokana na matumizi ya dawa za mpango kama pills au kijiti kunaweza kumsababishia mtu huyo kupata chunusi nyingi usoni, kukonda na ngozi ya uzo kuwa na spots yani mabaka mabaka?
Mana nimekuwa mwathirika wa mabaka usoni nimeshatumia kila dawa but sioni ahueni na inafika mpaka kipindi bila make up siwezi kwenda hata job.
Nisaidieni nijue kama ndivyo nitumie tu calendar japo najua ni ngumu.
Mana nimekuwa mwathirika wa mabaka usoni nimeshatumia kila dawa but sioni ahueni na inafika mpaka kipindi bila make up siwezi kwenda hata job.
Nisaidieni nijue kama ndivyo nitumie tu calendar japo najua ni ngumu.