Kukosa mpangilio wa hedhi. Msaada tafadhali

Kukosa mpangilio wa hedhi. Msaada tafadhali

Doly

Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
16
Reaction score
2
nINI CHANZO CHA KUWA NA MPANGILIO USIO RASMI KATK HEDHI?
 
nINI CHANZO CHA KUWA NA MPANGILIO USIO RASMI KATK HEDHI?
Doly, kwanza nikupe pole kwa tatizo kama wewe ni muhusika. Tunapenda kufahamu mambo kadhaa toka kwako ili tuweze kukushauri ipasavyo:
Umri wako?Tatizo lilianza lini? muda gani sasa umepita? Ulikuwa unatumia njia yoyote ya uzazi wa mpango? kama ndio tutajie? huo mpangilio wako wa siku ulikuwaje ikiwa na maana kabla ya tatizo ulikuwa unakwenda siku ngapi? unabadili mara ngapi asubuhi hadi jioni? inakuwa imelowana kiasi gani? na unarudia kuona tena siku baada ya muda gani? Sasa kubadilika mpangilio ukoje kwa sasa? Nisaidie kujibu haya maswali.... PIA unaweza kwenda kumwona daktari akaweza kukusikiliza na kukufanyia vipimo kulingana na maelezo yako
 
Last edited by a moderator:
nina umri wa miaka 31, tatizo langu limeanza pindi tu navunja ungo nikimaanisha kwamba kwamara ya kwanza ilikuwa siku 2 nikakaa siku 14 nikapata tena kwa siku 7 na hali ikawa ni hiy mara nakaa hata miezi miwili then napata kwa siku kuni na zaidi. halafu ikafika kipindi nikawa nakaa miezi sita then napata kwa siku zaid iy thelathin mfululizo. na kuhusu suala la kubadili huwa linabadilika kutoka kipindi kimoja hadi kingine kwani kunawkati nabadili mara 2-3 kw kutwa moja lakini kipidi kingine huwa ni mabongomabonge kiasi kwamba inazidi idadi hiyo ya kubadili. na kihusu matumizi ya uzazi wa mpango cjawahi tumia labda tu kuna miezi mitatu fululizo nilitumia vidonge kwa ushauri wa daktari kama tiba nahali ilienda vizuri kwa kipindi hicho ila muda mwingi nilikuwa napata kichefuchefu na kukosahamu ya kula, baada ya hiyo iezi mitatu hali ilibaki kama kawaida ya kukosa mpangilio.

Haya ndiyniliyo nayo ndugu yangu. Natumai nitapata msaada
Doly, kwanza nikupe pole kwa tatizo kama wewe ni muhusika. Tunapenda kufahamu mambo kadhaa toka kwako ili tuweze kukushauri ipasavyo:
Umri wako?Tatizo lilianza lini? muda gani sasa umepita? Ulikuwa unatumia njia yoyote ya uzazi wa mpango? kama ndio tutajie? huo mpangilio wako wa siku ulikuwaje ikiwa na maana kabla ya tatizo ulikuwa unakwenda siku ngapi? unabadili mara ngapi asubuhi hadi jioni? inakuwa imelowana kiasi gani? na unarudia kuona tena siku baada ya muda gani? Sasa kubadilika mpangilio ukoje kwa sasa? Nisaidie kujibu haya maswali.... PIA unaweza kwenda kumwona daktari akaweza kukusikiliza na kukufanyia vipimo kulingana na maelezo yako
 
nina umri wa miaka 31, tatizo langu limeanza pindi tu navunja ungo nikimaanisha kwamba kwamara ya kwanza ilikuwa siku 2 nikakaa siku 14 nikapata tena kwa siku 7 na hali ikawa ni hiy mara nakaa hata miezi miwili then napata kwa siku kuni na zaidi. halafu ikafika kipindi nikawa nakaa miezi sita then napata kwa siku zaid iy thelathin mfululizo. na kuhusu suala la kubadili huwa linabadilika kutoka kipindi kimoja hadi kingine kwani kunawkati nabadili mara 2-3 kw kutwa moja lakini kipidi kingine huwa ni mabongomabonge kiasi kwamba inazidi idadi hiyo ya kubadili. na kihusu matumizi ya uzazi wa mpango cjawahi tumia labda tu kuna miezi mitatu fululizo nilitumia vidonge kwa ushauri wa daktari kama tiba nahali ilienda vizuri kwa kipindi hicho ila muda mwingi nilikuwa napata kichefuchefu na kukosahamu ya kula, baada ya hiyo iezi mitatu hali ilibaki kama kawaida ya kukosa mpangilio.

Haya ndiyniliyo nayo ndugu yangu. Natumai nitapata msaada

Nimekuelewa vyema, inaonekana ni muda mrefu upepita kama ni tangu umevunja ungo na umewahi kuonwa na daktari na kupewa vidonge. Kwa hili unahitaji kwenda kumwona dakatari, kwanza ufanyiwe vipimo, ikiwa ni pamoja na wingi wa damu kwani unatoka damu nyingi ni vymea kupima, kufanya ultrasound kuona hali ya kizazi kwa sasa.... Hivyo nenda hospitali, mungu akutangulie nakutakia mafanikio
 
nina umri wa miaka 31, tatizo langu limeanza pindi tu navunja ungo nikimaanisha kwamba kwamara ya kwanza ilikuwa siku 2 nikakaa siku 14 nikapata tena kwa siku 7 na hali ikawa ni hiy mara nakaa hata miezi miwili then napata kwa siku kuni na zaidi. halafu ikafika kipindi nikawa nakaa miezi sita then napata kwa siku zaid iy thelathin mfululizo. na kuhusu suala la kubadili huwa linabadilika kutoka kipindi kimoja hadi kingine kwani kunawkati nabadili mara 2-3 kw kutwa moja lakini kipidi kingine huwa ni mabongomabonge kiasi kwamba inazidi idadi hiyo ya kubadili. na kihusu matumizi ya uzazi wa mpango cjawahi tumia labda tu kuna miezi mitatu fululizo nilitumia vidonge kwa ushauri wa daktari kama tiba nahali ilienda vizuri kwa kipindi hicho ila muda mwingi nilikuwa napata kichefuchefu na kukosahamu ya kula, baada ya hiyo iezi mitatu hali ilibaki kama kawaida ya kukosa mpangilio.

Haya ndiyniliyo nayo ndugu yangu. Natumai nitapata msaada

Doly, pole kwa tatizo lako.

Kifupi, afya ya uzazi ya akinamama ni changamoto inayohitaji ufuatialiaji na umakini
Pamoja na kumuona Daktari wa magonjwa ya akinamama, lakini pia nakushauri utumie bidhaa hizi zifuatazo:

1. Leonurus Sanitary Towel (Pad) wakati wa siku zako
2. Leonurus Pantiliners umalizapo siku zako
3. Female Reproductive Health Care Pills kwa ajili ya kusafisha kizazi chako na mfumo mzima wa uzazi ndani.

Bidhaa hizi zinatengenezwa na kampuni ya Anysee. Kwa Tanzania, duka lipo Kinondoni B na kila Jumamosi saa 6 mchana kunakuwa na mafunzo juu ya bidhaa hizo pamoja na shuhuda mbalimbali kutoka kwa Akinamama wanaozitumia.

Kwa maelezo zaidi, tuwasiliane kwa simu namba: 0713 366 473 au 0767 277 223
pia tembelea: www.anysee-africa.com


CHUKUA HATUA.
 
Asante sana kwa maelezo mazuri.

Nitajitahidi kutumia bidhaa hizo na pia nitakupigia.

Nashukuru sana
Doly, pole kwa tatizo lako.

Kifupi, afya ya uzazi ya akinamama ni changamoto inayohitaji ufuatialiaji na umakini
Pamoja na kumuona Daktari wa magonjwa ya akinamama, lakini pia nakushauri utumie bidhaa hizi zifuatazo:

1. Leonurus Sanitary Towel (Pad) wakati wa siku zako
2. Leonurus Pantiliners umalizapo siku zako
3. Female Reproductive Health Care Pills kwa ajili ya kusafisha kizazi chako na mfumo mzima wa uzazi ndani.

Bidhaa hizi zinatengenezwa na kampuni ya Anysee. Kwa Tanzania, duka lipo Kinondoni B na kila Jumamosi saa 6 mchana kunakuwa na mafunzo juu ya bidhaa hizo pamoja na shuhuda mbalimbali kutoka kwa Akinamama wanaozitumia.

Kwa maelezo zaidi, tuwasiliane kwa simu namba: 0713 366 473 au 0767 277 223
pia tembelea: www.anysee-africa.com


CHUKUA HATUA.
 
Doly, pole kwa tatizo lako.

Kifupi, afya ya uzazi ya akinamama ni changamoto inayohitaji ufuatialiaji na umakini
Pamoja na kumuona Daktari wa magonjwa ya akinamama, lakini pia nakushauri utumie bidhaa hizi zifuatazo:

1. Leonurus Sanitary Towel (Pad) wakati wa siku zako
2. Leonurus Pantiliners umalizapo siku zako
3. Female Reproductive Health Care Pills kwa ajili ya kusafisha kizazi chako na mfumo mzima wa uzazi ndani.

Bidhaa hizi zinatengenezwa na kampuni ya Anysee. Kwa Tanzania, duka lipo Kinondoni B na kila Jumamosi saa 6 mchana kunakuwa na mafunzo juu ya bidhaa hizo pamoja na shuhuda mbalimbali kutoka kwa Akinamama wanaozitumia.

Kwa maelezo zaidi, tuwasiliane kwa simu namba: 0713 366 473 au 0767 277 223
pia tembelea: www.anysee-africa.com


CHUKUA HATUA.
Mods muanzishe utaratibu wa watu kuwa wanalipia matangazo ya biashara
cc Paw
 
Last edited by a moderator:
Asante nashukuru kwa ushauri wako nitatendea kazi. Lakini nilishawahi kwenda hospitali hadi za rufaa ila wakanambia nina uzazi mwingi hivyo endapo nikipata mtoto haya yote yataisha, ikanilazimu niwe mpole hadi nilipotimiza miaka 25 nikapata ujauzito na hatimaye nikafankiwa kupata mtoto wa kiume 1. lakini hadi sasa tatizo ni lipo tu. Lakini nitaenda inadvance.

Asante Ubarikiwe sana kwa mchango wako mkubwa kwangu
Nimekuelewa vyema, inaonekana ni muda mrefu upepita kama ni tangu umevunja ungo na umewahi kuonwa na daktari na kupewa vidonge. Kwa hili unahitaji kwenda kumwona dakatari, kwanza ufanyiwe vipimo, ikiwa ni pamoja na wingi wa damu kwani unatoka damu nyingi ni vymea kupima, kufanya ultrasound kuona hali ya kizazi kwa sasa.... Hivyo nenda hospitali, mungu akutangulie nakutakia mafanikio
 
Asante sana kwa maelezo mazuri.

Nitajitahidi kutumia bidhaa hizo na pia nitakupigia.

Nashukuru sana

Doly

Kama upo Dar, nakukumbusha kesho Jumamosi saa 6 mchana - saa 9 mchana, kuhudhuria semina/ darasa juu ya bidhaa za Anysee i.e
1. Leonurus Sanitary Towel (Pads)
2. Leonurus Pantiliners
3. Female Reproductive Health Care Pills

Semina inafanyika Ofisini, Kinondoni B. Semina hizi hufanyika kila Jumamosi.

Wanajamvi wote kwa ujumla mnakaribishwa.

Kwa taarifa zaidi piga: 0713 366 473 au 0767 277 223

KARIBUNI
 
Okay very interesting topic aisee,nami nna dada yangu alishawahi kuniambia tatizo lake linafanana sana na hilo tofaut yake ni kuwa yeye anataka kupata ujauzito lakin hapati shida yake kubwa apate mtoto lakin kujua zile siku za kushika mimba imekuwa ishu kwani anaweza akavuka hata miez miwil pia bila kuona siku zake hizo, nilishamshaur aende kumwona \doctor akaonana nae lakin naona kama sijaona kitumbo kimejaa mpaka leo mwaka sasa tangu ameolewa
 
Asante nashukuru kwa ushauri wako nitatendea kazi. Lakini nilishawahi kwenda hospitali hadi za rufaa ila wakanambia nina uzazi mwingi hivyo endapo nikipata mtoto haya yote yataisha, ikanilazimu niwe mpole hadi nilipotimiza miaka 25 nikapata ujauzito na hatimaye nikafankiwa kupata mtoto wa kiume 1. lakini hadi sasa tatizo ni lipo tu. Lakini nitaenda inadvance.

Asante Ubarikiwe sana kwa mchango wako mkubwa kwangu

Hapo nilipoweka RED, Napata utata kuelewa tafadhali tafuta daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi, ikiwa na maana ya Gynaecologist.....
 
Asante kwa kunijali

tatizo ni 1 mimi sipo dar nipo mkoani, sijui hiyo semina nitaipataje.

Pole wa kukuchosha.
doly

kama upo dar, nakukumbusha kesho jumamosi saa 6 mchana - saa 9 mchana, kuhudhuria semina/ darasa juu ya bidhaa za anysee i.e
1. Leonurus sanitary towel (pads)
2. Leonurus pantiliners
3. Female reproductive health care pills

semina inafanyika ofisini, kinondoni b. Semina hizi hufanyika kila jumamosi.

Wanajamvi wote kwa ujumla mnakaribishwa.

kwa taarifa zaidi piga: 0713 366 473 au 0767 277 223

karibuni
 
Asante kwa kunijali

tatizo ni 1 mimi sipo dar nipo mkoani, sijui hiyo semina nitaipataje.

Pole wa kukuchosha.

Doly,

Chukua hatua kwa kufanya mawasiliano. Sioni sababu ya kuendelea kuteseka ilhali ufumbuzi upo. Kawani unapatikana sehemu gani ya Tanzania mwenzetu! Mimi hupatikana Dodoma na Dar. Isije ukawa upo Dodoma! Kikubwa ni kujua ulipo na kuona namna ya kusaidiana.
 
Nipo Songea ndugu yangu. But I'LL GONNA TO CONTACT YOU.

KAZIZA FIELD ZILINIBANA KIASI KWAMBA NIKASHINDWA KUKUPIGIA. ILA AS SOON AS POSSIBLE NTAKUCHECK

ASANTE

Doly,

Chukua hatua kwa kufanya mawasiliano. Sioni sababu ya kuendelea kuteseka ilhali ufumbuzi upo. Kawani unapatikana sehemu gani ya Tanzania mwenzetu! Mimi hupatikana Dodoma na Dar. Isije ukawa upo Dodoma! Kikubwa ni kujua ulipo na kuona namna ya kusaidiana.
 
Back
Top Bottom