Kukosa umakini kwa tume ya Tiboroah kunavyoi-cost RT

Kukosa umakini kwa tume ya Tiboroah kunavyoi-cost RT

Joined
Jul 21, 2021
Posts
15
Reaction score
20
Mnamo tarehe 30/Jan/2021 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) liliteua tume ya kusimamia uchaguzi wa Shirikisho la Riadha Tanzania. Tume ilikua chini ya uenyekiti wa Dr Jonas Tiboroah japo mchakato huu ulifanywa na BMT kwa nia njema ya kurudisha utawala bora katika chama, bahati mbaya sana tume hii ilikosa umakini na kupelekea kuchaguliwa watu wasio na sifa hali ambayo kwasasa inaleta usumbufu mkubwa kwa Shirikisho hilo.

Mpaka sasa viongozi wawili wa RT wameshajiuzulu japokua barua zao za kujiudhulu zinatoa sababu binafsi, lakini inafahamika kua sababu halisi ni msukumo uliotokana na viongozi hawa kukosa sifa za kushika nafasi hizo.

Hivi karibuni tumeshuhudia Makamu wa Rais wa Shirikisho ndugu John Bayo akijiuzulu kwa kutoa sababu kuwa miradi yake inakufa kwakuwa hana muda wa kutosha kuisimamia kwakuwa muda mwingi anautumia kwenye shughuli za riadha.

Hata hivyo, kujiudhulu kwa ndugu Bayo kumekuja wakati kukiwa na kelele nyingi sana zilizodai kuwa ndugu huyu hakuwahi hata kumaliza kidato cha nne achilia mbali kukosa elimu ya Diploma inayotakiwa kwa nafasi ya Makamu wa Rais wa RT.

Sasa baada ya Bayo kutoka kwa hiari yake bado jinamizi la kughushi vyeti halijaiacha RT na hii ni muendelezo wa kukosa umakini kwa tume ya Dr Tiboroah, Mjumbe wa Kanda ya Ziwa, Ndugu Donald Ramadhan Machibya naye anatuhumiwa kuwa ameghushi cheti cha mafunzo ya ualimu wa Riadha ili aweze kupata sifa ya kugombea nafasi hiyo. Ndugu Machibya ameghushi cheti na kughushi na sahihi ya Mh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ndugu Anthony Mtaka hali ambayo inamnyima sifa za moja kwa moja za kuwa kiongozi kwa kutenda kosa la jinai, lakin pia inamfanya akose sifa za kikatiba za kushika nafasi alionayo.

Habari za uhakika zinaeleza kuwa ndugu Machibya alighushi cheti hicho kwa kutoa nakala ya Mwalimu wa riadha wa mjini Geita (Jina linahifadhiwa) na kufanikiwa kuibandika sahihi ya Mhe Mtaka.
Napenda kushauri viongozi wa RT waliopo madarakani hasa Rais wake wakili Silas Isangi asifumbie macho swala hili kama anataka taaisis anayoisimamia kuwa na taswira nzuri kwa jamii.
 
Tiboroah ameacha Jinamizi RT, linawatafuna Wajumbe aliyekuwa anawasimamia Uchaguzi. Kuna haja ya Tiboroah Kuchunguzwa nani alimfanya awapitishe wajumbe bila kukagua Vyeti Vyao. Naye ni Jipu.
 
Mnamo tarehe 30/Jan/2021 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) liliteua tume ya kusimamia uchaguzi wa Shirikisho la Riadha Tanzania. Tume ilikua chini ya uenyekiti wa Dr Jonas Tiboroah japo mchakato huu ulifanywa na BMT kwa nia njema ya kurudisha utawala bora katika chama, bahati mbaya sana tume hii ilikosa umakini na kupelekea kuchaguliwa watu wasio na sifa hali ambayo kwasasa inaleta usumbufu mkubwa kwa Shirikisho hilo.

Mpaka sasa viongozi wawili wa RT wameshajiuzulu japokua barua zao za kujiudhulu zinatoa sababu binafsi, lakini inafahamika kua sababu halisi ni msukumo uliotokana na viongozi hawa kukosa sifa za kushika nafasi hizo.

Hivi karibuni tumeshuhudia Makamu wa Rais wa Shirikisho ndugu John Bayo akijiuzulu kwa kutoa sababu kuwa miradi yake inakufa kwakuwa hana muda wa kutosha kuisimamia kwakuwa muda mwingi anautumia kwenye shughuli za riadha.

Hata hivyo, kujiudhulu kwa ndugu Bayo kumekuja wakati kukiwa na kelele nyingi sana zilizodai kuwa ndugu huyu hakuwahi hata kumaliza kidato cha nne achilia mbali kukosa elimu ya Diploma inayotakiwa kwa nafasi ya Makamu wa Rais wa RT.

Sasa baada ya Bayo kutoka kwa hiari yake bado jinamizi la kughushi vyeti halijaiacha RT na hii ni muendelezo wa kukosa umakini kwa tume ya Dr Tiboroah, Mjumbe wa Kanda ya Ziwa, Ndugu Donald Ramadhan Machibya naye anatuhumiwa kuwa ameghushi cheti cha mafunzo ya ualimu wa Riadha ili aweze kupata sifa ya kugombea nafasi hiyo. Ndugu Machibya ameghushi cheti na kughushi na sahihi ya Mh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ndugu Anthony Mtaka hali ambayo inamnyima sifa za moja kwa moja za kuwa kiongozi kwa kutenda kosa la jinai, lakin pia inamfanya akose sifa za kikatiba za kushika nafasi alionayo.

Habari za uhakika zinaeleza kuwa ndugu Machibya alighushi cheti hicho kwa kutoa nakala ya Mwalimu wa riadha wa mjini Geita (Jina linahifadhiwa) na kufanikiwa kuibandika sahihi ya Mhe Mtaka.
Napenda kushauri viongozi wa RT waliopo madarakani hasa Rais wake wakili Silas Isangi asifumbie macho swala hili kama anataka taaisis anayoisimamia kuwa na taswira nzuri kwa jamii.
Gidabday alifanya kazi vzr sana kwa miaka 3 yake RT [emoji966] 2 zilikuja, taswira ya Tanzania ikapanda kimataifa. Ila wakubwa wakataka kutafuna gidabday akagoma na kukasirika kaondoka zake. Sasa nasikia anachunga mifugo mapprini.
 
Mnamo tarehe 30/Jan/2021 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) liliteua tume ya kusimamia uchaguzi wa Shirikisho la Riadha Tanzania. Tume ilikua chini ya uenyekiti wa Dr Jonas Tiboroah japo mchakato huu ulifanywa na BMT kwa nia njema ya kurudisha utawala bora katika chama, bahati mbaya sana tume hii ilikosa umakini na kupelekea kuchaguliwa watu wasio na sifa hali ambayo kwasasa inaleta usumbufu mkubwa kwa Shirikisho hilo.

Mpaka sasa viongozi wawili wa RT wameshajiuzulu japokua barua zao za kujiudhulu zinatoa sababu binafsi, lakini inafahamika kua sababu halisi ni msukumo uliotokana na viongozi hawa kukosa sifa za kushika nafasi hizo.

Hivi karibuni tumeshuhudia Makamu wa Rais wa Shirikisho ndugu John Bayo akijiuzulu kwa kutoa sababu kuwa miradi yake inakufa kwakuwa hana muda wa kutosha kuisimamia kwakuwa muda mwingi anautumia kwenye shughuli za riadha.

Hata hivyo, kujiudhulu kwa ndugu Bayo kumekuja wakati kukiwa na kelele nyingi sana zilizodai kuwa ndugu huyu hakuwahi hata kumaliza kidato cha nne achilia mbali kukosa elimu ya Diploma inayotakiwa kwa nafasi ya Makamu wa Rais wa RT.

Sasa baada ya Bayo kutoka kwa hiari yake bado jinamizi la kughushi vyeti halijaiacha RT na hii ni muendelezo wa kukosa umakini kwa tume ya Dr Tiboroah, Mjumbe wa Kanda ya Ziwa, Ndugu Donald Ramadhan Machibya naye anatuhumiwa kuwa ameghushi cheti cha mafunzo ya ualimu wa Riadha ili aweze kupata sifa ya kugombea nafasi hiyo. Ndugu Machibya ameghushi cheti na kughushi na sahihi ya Mh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ndugu Anthony Mtaka hali ambayo inamnyima sifa za moja kwa moja za kuwa kiongozi kwa kutenda kosa la jinai, lakin pia inamfanya akose sifa za kikatiba za kushika nafasi alionayo.

Habari za uhakika zinaeleza kuwa ndugu Machibya alighushi cheti hicho kwa kutoa nakala ya Mwalimu wa riadha wa mjini Geita (Jina linahifadhiwa) na kufanikiwa kuibandika sahihi ya Mhe Mtaka.
Napenda kushauri viongozi wa RT waliopo madarakani hasa Rais wake wakili Silas Isangi asifumbie macho swala hili kama anataka taaisis anayoisimamia kuwa na taswira nzuri kwa jamii.
Hizo sifa sijui diploma mara degree ni zuga tu sifa kuu ni kuwa mwanachama wa ccm baaasi
 
Hivi gidabuday Yuko wapi yule mwamba

Jamaa mkweli Sana hana chembe za unafiki

Filbet bay ndiyo mwenyekit wa kudumu huko Olympic maana toka tukiwa wadogo had tunazeeka n yeye tu namsikia huko

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu Filbert Bayi ni jipu kuubwa sana kwenye riadha. Ana shule zake maalumu kwaajili ya kuua vipaji vya watoto ili yeye apate ufadhili kutoka nje. Anaenda maeneo mbalimbali kwe umiseta wap, anachagua watoto wenye vipaji anawapeleka kwenye shule zake anaombea ufadhili nje. Lakin tangu aanzishe shule sijasikia hata mtoto mmoja kafanya vizur kwenye michezo kwa kutokea kwa Bayi. Wakishaingia pale wanapotelea eko. Serikali kama inataka maendeleo ya kweli kwenye riadha waanze kwa kumuangalia Bayi. Ana tamasha lake kule karatu miaka karibu kumi sasa anachukua hela za Olympic anaenda kufanyia Tamasha kwao anajipanga na ubunge
 
Huyu Filbert Bayi ni jipu kuubwa sana kwenye riadha. Ana shule zake maalumu kwaajili ya kuua vipaji vya watoto ili yeye apate ufadhili kutoka nje. Anaenda maeneo mbalimbali kwe umiseta wap, anachagua watoto wenye vipaji anawapeleka kwenye shule zake anaombea ufadhili nje. Lakin tangu aanzishe shule sijasikia hata mtoto mmoja kafanya vizur kwenye michezo kwa kutokea kwa Bayi. Wakishaingia pale wanapotelea eko. Serikali kama inataka maendeleo ya kweli kwenye riadha waanze kwa kumuangalia Bayi. Ana tamasha lake kule karatu miaka karibu kumi sasa anachukua hela za Olympic anaenda kufanyia Tamasha kwao anajipanga na ubunge
Kumbe mwamba anataka ubunge niliwah hudhuria tamasha lake moja pale karatu sikujua ajenda yake ya siri ya Lile tamasha



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe mwamba anataka ubunge niliwah hudhuria tamasha lake moja pale karatu sikujua ajenda yake ya siri ya Lile tamasha



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa hivi muda wake wa uongozi Olympic unaisha ndio anataka ahimishie majeshi jimboni. Hilo Tamasha watu wanafikiri yeye ndio mdhamini lakik ukweli liko kwe Calenda wanayowasilisha Olympic na pesa zote zinatoka huko. Yeye kaligeuza lke linafanyika Karatu naambiwa ni miaka ishirini sasa. Olympic ni ya nchi nzima yy amelifanya la Karatu. Ila mzee kaumiza sana riadha. Kuna post naimalizia ya scheme zake. Kama Serikali itakua makin huyu mzee anapaswa kua jela. Miaka 40 tangu yeye apate medal ya olympic hatuna nyingine. Ila miaka hiyo 40 yeye na jamaa zake wametajirika hatari
 
Back
Top Bottom