Kukosa usingizi

ween

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
414
Reaction score
129
Wakuu heshima yenu kwanza .......
Mm napenda kujua nn chanzo cha kukosa usingizi ukiachilia mbali ntu kuwa na stress/mawazo mengi
Je madhara yake ni yap? Na tiba yake nn?
Maana hta mmi ni muhangwa wa hili msaada wenu tafadhali.
 
Hatari yake ni kuwa unaweza kulala mahali popote na ni mbaya sana kama unaendesha gari, unaweza kulala barabarani na kusababisha ajali mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…