Uchaguzi 2020 Kukosa viti vingi kwa vyama shindani

Uchaguzi 2020 Kukosa viti vingi kwa vyama shindani

Evari77

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
665
Reaction score
674
Nionavyo mimi miaka yote ya uchaguzi vyama hivi vimekuwa na kasumba ya kusubilia wagombea wazuri waliokatwa CCM hivyo kuwa mtaji mzuri wa kuwapatia vitu, Lakini mwaka huu imekuwa tofauti sana.

Pili wakongwe kupigwa sababu kubwa ni mwamko mdogo wa vijana kupiga kula. Kupinga kila kitu na hivyo wananchi kuacha kuwachagua nk. Hivyo ni vizuri wajifunze kuwa karibu na wanainchi na kuwaletea maendeleo.

Kwa mtazamo wangu kama kweli ni wanasiasa tutaendelea kuona mchango wao kwa taifa hata kama wamekosa Ubunge.
 
Asaiv kupiga kura kwa hii tume yetu ni ufala tu.... Unapiga KURA afu majizi ya vegetables yanaifanyia manipulations mpaka yanajisahau asilimia % za matokeo zinazidi 100%, total inakuja 120%

.....CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa njia ya kupiga KURA hivi Locally tulivyozoea...
 
Nionavyo mimi miaka yote ya uchaguzi vyama hivi vimekuwa na kasumba ya kusubilia wagombea wazuri waliokatwa CCM hivyo kuwa mtaji mzuri wa kuwapatia vitu, Lakini mwaka huu imekuwa tofauti sana...
Dola ndio imepora uchaguzi stories nyingine ni uzwazwa tu mnafanya.

Mtaani kuna jwtz, Polisi, Magereza Zimamoto, Migambo wote hao kwaajili ya kupora chaguzi kwa kushirikiana na NEC.

Kama vyama vya upinzani vinasymbua FUTENI, Why mnapata tabu sana
 
Dola ndio imepora uchaguzi stories nyingine ni uzwazwa tu mnafanya.

Mtaani kuna jwtz, Polisi, Magereza Zimamoto, Migambo wote hao kwaajili ya kupora chaguzi kwa kushirikiana na NEC.

Kama vyama vya upinzani vinasymbua FUTENI, Why mnapata tabu sana

Wengi weshidwa kihalali wakiona wameibiwa wafungue case zito wamehesabu mala 4 kapigwa
 
Wakati mwingine unawaza, hivi kusema umeibiwa kura kwa gap la kura 30,000 mbona haingii akilini. Mnafanya watanzania wanasononeka wakati mmekataliwa na wananchi kihalali. Ukiteleza kubali, inukua, pangusa vumbi songa mbele.
 
Kwa akili yako ndogo unadhani hizo figure zinazosomwa na necccm ni kweli??? Angalia tofauti ya gambo na lema. Halafu nenda kule nkasi uone tofauti ya yule Dada (chadema) na kessy (ccm)
 
Wakati mwingine unawaza, hivi kusema umeibiwa kura kwa gap la kura 30,000 mbona haingii akilini. Mnafanya watanzania wanasononeka wakati mmekataliwa na wananchi kihalali. Ukiteleza kubali, inukua, pangusa vumbi songa mbele.
Kwa mavi haya hilo gap litakosekana vipi? Yani maccm mmazidi kuchukiwa na this time hakuna hata kuzikana
 
Wengi weshidwa kihalali wakiona wameibiwa wafungue case zito wamehesabu mala 4 kapigwa
Hahaha unafurahisha, kesi wafungue wapi sasa kwenye mahakama za ccm, kuilalamikia ccm na tume ya ccm?!

Waache yalivyo na tuone Tanzania inakuwa kama ulaya kama walivyosema, flyover hadi milangoni mwetu.
 
Wakati mwingine unawaza, hivi kusema umeibiwa kura kwa gap la kura 30,000 mbona haingii akilini. Mnafanya watanzania wanasononeka wakati mmekataliwa na wananchi kihalali. Ukiteleza kubali, inukua, pangusa vumbi songa mbele.

Kama kupigwa basi hiki ni kipigo cha mbwa koko
 
Back
Top Bottom