Dola ndio imepora uchaguzi stories nyingine ni uzwazwa tu mnafanya.Nionavyo mimi miaka yote ya uchaguzi vyama hivi vimekuwa na kasumba ya kusubilia wagombea wazuri waliokatwa CCM hivyo kuwa mtaji mzuri wa kuwapatia vitu, Lakini mwaka huu imekuwa tofauti sana...
Dola ndio imepora uchaguzi stories nyingine ni uzwazwa tu mnafanya.
Mtaani kuna jwtz, Polisi, Magereza Zimamoto, Migambo wote hao kwaajili ya kupora chaguzi kwa kushirikiana na NEC.
Kama vyama vya upinzani vinasymbua FUTENI, Why mnapata tabu sana
Kwa mavi haya hilo gap litakosekana vipi? Yani maccm mmazidi kuchukiwa na this time hakuna hata kuzikanaWakati mwingine unawaza, hivi kusema umeibiwa kura kwa gap la kura 30,000 mbona haingii akilini. Mnafanya watanzania wanasononeka wakati mmekataliwa na wananchi kihalali. Ukiteleza kubali, inukua, pangusa vumbi songa mbele.
Hahaha unafurahisha, kesi wafungue wapi sasa kwenye mahakama za ccm, kuilalamikia ccm na tume ya ccm?!Wengi weshidwa kihalali wakiona wameibiwa wafungue case zito wamehesabu mala 4 kapigwa
Wakati mwingine unawaza, hivi kusema umeibiwa kura kwa gap la kura 30,000 mbona haingii akilini. Mnafanya watanzania wanasononeka wakati mmekataliwa na wananchi kihalali. Ukiteleza kubali, inukua, pangusa vumbi songa mbele.