Aureus Ndimbo
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 211
- 95
Ume request Salio ukaona kweli ipo? Kama ndio Mwambie airudishe mwenyewe huko alikoJamani Mimi ni wakala mdogo wa airtel money.sasa Kuna hela imeingia lakin cjaona msg ila hela ipo. Sasa jamaa anafanyia kazi Airtel makao makuu wilaya amekuja ameniambia Kuna hela imeingizwa kwenye laini yako km float kimakosa hivo irudishe,na msg ya lain iiliyotuma pesa hajanionyesha.Nimemkatalia nimemuambia awasiliane na huduma kwa wateja wairudishe wenyewe.lkn amenitishia kwenda kufunga lain yangu.ipoje hapo nafanyeje
Kwanza huyo mtu aliyekuja wewe unamfahamu na una uhakika Kama ni kweli ni mfanyakazi wa Airtel?Kama humjui ila yeye ndio amejinadi hvyo basi ujue ni tapeli huyo.Jamani Mimi ni wakala mdogo wa airtel money.sasa Kuna hela imeingia lakin cjaona msg ila hela ipo. Sasa jamaa anafanyia kazi Airtel makao makuu wilaya amekuja ameniambia Kuna hela imeingizwa kwenye laini yako km float kimakosa hivo irudishe,na msg ya lain iiliyotuma pesa hajanionyesha.Nimemkatalia nimemuambia awasiliane na huduma kwa wateja wairudishe wenyewe.lkn amenitishia kwenda kufunga lain yangu.ipoje hapo nafanyeje