Kumbe na wewe ni mjinga ππYaani kukosekana Haji Manara kwenye mpira ni hasara, yaani utadhani kesho hakuna mechi. Kweli Manara alikuwa na amsha amsha.
Nani kama Manara? TFF mfungulie mtu huyu.
Wewe ni ng'ombe wa maziwaYaani kukosekana Haji Manara kwenye mpira ni hasara, yaani utadhani kesho hakuna mechi. Kweli Manara alikuwa na amsha amsha.
Nani kama Manara? TFF mfungulie mtu huyu.
Wajinga nchi hii wanaongezeka ,jitahidi watoto wako wale ngano,zabibu na komamanga na vingine vinavyosaidia akili .Wewe tayari haukunjiki utavunjikaYaani kukosekana Haji Manara kwenye mpira ni hasara, yaani utadhani kesho hakuna mechi. Kweli Manara alikuwa na amsha amsha.
Nani kama Manara? TFF mfungulie mtu huyu.
Kama amelipa mahali kwa dada zako una haki ya kumsifia huyo mlezi wa dada zako πMapovu bado ongezeni speed manara ni vyombo habari vya mpira wa epl
Nakuunga mkono, Kila Mtu ana umuhimu sehemu anayoitendea haki.Yaani kukosekana Haji Manara kwenye mpira ni hasara, yaani utadhani kesho hakuna mechi. Kweli Manara alikuwa na amsha amsha.
Nani kama Manara? TFF mfungulie mtu huyu.
jaribu kujenga hoja ,kaleta thread changia sasa kusema mjinga ndo mchango huoo..utakuwa lini na miaka inaenda sasaKumbe na wewe ni mjinga ππ
manara alitusema sana yanga ila yule mwamba anajua sana na anajua nn anafanyaNakuunga mkono, Kila Mtu ana umuhimu sehemu anayoitendea haki.
Yaani kukosekana Haji Manara kwenye mpira ni hasara, yaani utadhani kesho hakuna mechi. Kweli Manara alikuwa na amsha amsha.
Nani kama Manara? TFF mfungulie mtu huyu.