Kukosekana kwa jenerata jengo la dharula Hospitali ya mkoa wa Morogoro ni aibu

Kukosekana kwa jenerata jengo la dharula Hospitali ya mkoa wa Morogoro ni aibu

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,433
Reaction score
8,585
Leo Usiku nilipata Dharura ya Kuuguliwa na Mke wangu majira ya saa 6 usiku ikabidi nimkimbize hospitali ya Nunge kisha hapo Tukapewa Rufaa kuelekea Hospitali Ya Mkoa wa Morogoro

Baada ya Kuwepo kwa nusu saa kwenye Jengo la mapokezi na Dharura ambalo ni jipya na zuri umeme ukakatika, basi ndugu zanguni ni saa nzima saa imepita tupo gizani madaktari wanatumia Tochi za Simu kuhudumia wagonjwa....

Najiuliza kama hali iko hivi Mkoani Vipi vijijini

Hii ni aibu kwa mkoa na wizara ya afya.
 

Attachments

  • video_20241227_025024.mp4
    81.7 MB
Jenereta lipo tena sio moja yapo mengi mkuu labda kuna hitilafu ya umeme

Moja lipo hapo karibu na mapokezi kwenye mbavu za maabara jingine lipo usawa wa mochwari na laundry
 
Jenereta lipo tena sio moja yapo mengi mkuu labda kuna hitilafu ya umeme

Moja lipo hapo karibu na mapokezi kwenye mbavu za maabara jingine lipo usawa wa mochwari na laundry
Unanibishia mie niliekuepo hapo kwa masaa matatu bila umeme

Nazungumzia Jengo jipya karibu na Mochwary na kuna mtu nilikuwa nae anasema yeye si mara ya kwanza kukumbwa na giza hapo kule kqenye maward ndipo gereta ipo
 
Unanibishia mie niliekuepo hapo kwa masaa matatu bila umeme

Nazungumzia Jengo jipya karibu na Mochwary na kuna mtu nilikuwa nae anasema yeye si mara ya kwanza kukumbwa na giza hapo kule kqenye maward ndipo gereta ipo
Mkuu
Pole Sana Ukweli Wowote Unaosemwa Anayekujibu Anaweka Mahaba Kwenye Siasa Badala Ya Ukweli
 
Unanibishia mie niliekuepo hapo kwa masaa matatu bila umeme

Nazungumzia Jengo jipya karibu na Mochwary na kuna mtu nilikuwa nae anasema yeye si mara ya kwanza kukumbwa na giza hapo kule kqenye maward ndipo gereta ipo
Kumbe walisha jenga jengo jingine la mapokezi karibu na mochwari? Nisamehe mkuu

Nimefanya kazi hapo kwa miaka 20 ya kubeba miili iliyokata kamba kuipereka mochwari


Mganga mkuu wa sasa si ninyule ostadh?
 
Naam.siku hiIzi.dharula na mapokezi ipo karibu na uwanja wa Wa soka wa Moro sec.
Jengo.zuri na lenye nafasi lakini Ajabu halina Genereta pindi umeme unapokuwa haupo
 
Back
Top Bottom