Kukosekana kwa Katiba Mpya alaumiwe Hayati Magufuli

Kukosekana kwa Katiba Mpya alaumiwe Hayati Magufuli

Kibingu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2022
Posts
1,078
Reaction score
1,445
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.
 
Kilomita zote alizotembea kwenye kampeni hakuongelea kuhusu katiba. Kwahiyo alikuwa na haki kuachana na katiba
Same ambavyo mama anaachana na ujinga wa Meko sababu hakusema atajenga yeye.

Labda twende namna hii ndio utaelewa hauna akili bali mavi yamekujaa unakosa kufikiria sahihi
 
Acha aendelee kutukanwa na aliodhani ni wenzake, aliunguruma na kularua ili kutia uoga.
 
Kwa upande wangu ninamshikuru Magufuli, ametusaidia kuelewa umuhimu wa katiba mpya, wale wengine walikua wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa wakijua fika kwa katiba hii tuliyonayo wataendelea kutuongoza mpaka kiama.
 
Sio kikwete alieanzisha akauachia njiani??
 
Gaid
Tubaki palepale Kila mtu ana kipaumbele chake..

Sasa vipi hatuandamani kudai katiba.. maana gaidi yupo huru
Gaidi aliyerarua mdhuti wako yupo huru na amesafiri yupo Kenya anajifunza ugaidi vizuri zaidi aje akupasue vizuri.
 
Tukimaliza kumlaumu Marehemu tusubiri hadi uchaguzi 2025 upite ndo tuendelee na katiba.

Endeleeni kupambana na Marehemu wakati vita tayari ina maadui wapya
 
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.
Wale wapambe X CCM wa magufuli waliomuhakikishia kwamba hakuna haja ya kuwa na katiba mpya kwa sasa ... sasa wameujua umuhimu wake.

Tunaodai katiba ya nchi tuna maana kubwa mno zaidi ya haya ma vyama yetu, yaani Rais akibadilika wote mnabadilika useless.

Tuwe na mifumo, misingi anbayo hata Rais akija hawezi kuisugua...haya ndiyo tuyayoyapigania.

Leo hii mijitu inalia Dodoma imeanza kufuta kauli dadadeq
 
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.
Hakuna mwanademokrasia bali Dikteta
 
Hayati John Pombe Magufuli, aliukuta mchakato wa katiba mpya umefika mahali pazuri pa kupigiwa kura.

Hayati Magufuli akazipuuza harakati za miaka nenda rudi za waTanzania zilizolenga kuipata katiba mpya.

Magufuli kwa kiburi na jeuri akasema kutengeneza katiba nzuri itakayowapa mwangaza mpya wa karne zijazo watanzania ni upuuzi.

Magufuli akawaamrisha watu wakafanye kazi za kutumia nguvu za mwili pekee, nasisitiza na wasijaribu kutumia akili kufikiri wala kuwaza mambo mapya.

Akawaaminisha watanzania kuwa ni yeye tu anayejua mahitaji ya watanzania. Akaamrisha anayewaza kinyume auliwe kisha asongezwe kwenye viroba akatupwe.

Unyama mkubwa aliufanya lengo aweze kusimika utawala wa mawazo yake pekee, kinyume na matakwa ya watanzania.

Kwa bahati mbaya sana masalia ya umagufuli bado yanatembelea zile kauli zake kuwa eti watanzania hawapaswi kuwaza lolote kuhusu mustakabali wao hasa kuhusu katiba, demokrasia na haki za watanzania kwa ujumla wao.

Masalia haya, yatachukua muda kuyaangamiza kikamilifu. Awamu ya sita inataka kuyaondoa lakini inasitasita.

Lakini ni wazi kuwa, kutokuwepo kwa katiba mpya Tanzania kwa kipindi chochote kuanzia sasa, na madhara yake yoyote, yawe ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na hata amani na utulivu wa nchi, lawama zitaenda kikamilifu kwa huyu hayati aliyejiita jiwe,John Pombe Magufuli.

Nawasilisha, tujadili.

Eti tujadili. Unajadili na marehemu ambaye hawezi kujibu. Unajadili changamoto ili kupata utatuzi. So mkuu una maana kuwa kikwete alipitsha kila kitu akawaacha wajumbe wa katiba mwezi wa kumi 2015 akaona muda umeisha, mwezi wa 11 akaingia Magufuli akaona faili na Akalitupa. Mkuu marehemu alikuwa Rais. Wewe ulikuwa nani mpaka unasumbuka Hivi. Eti tujadili. Then what. Au wenzetu kiswahili tabu.
 
Back
Top Bottom