Pre GE2025 Kukosekana kwa misingi ya Demokrasia ndani ya CHADEMA, Jimbo la Singida Mashariki wavutana mashati uchaguzi wa viongozi

Pre GE2025 Kukosekana kwa misingi ya Demokrasia ndani ya CHADEMA, Jimbo la Singida Mashariki wavutana mashati uchaguzi wa viongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
305
Reaction score
728
Jimbo la Singida Mashariki CHADEMA lashindwa kufanya uchaguzi kutokana na kushindwa kutumia misingi ya Demokrasia.

Uchaguzi huo ulipangwa kufanyika leo, kutokana na vurugu zilizojitokeza wameshindwa kuendelea.

Chadema inashindwa kuwatendea haki wanachama wake, Je itaweza kuwatendea haki Watanzania milioni 65?

#KataaWahuni


 
Ndio watawatendea haki kwakuwa kila mtu aliyeko Chadema anajua kuhoji siyo kondoo kama wa CCM. Tuambie Kuna sababu ya kutoa fomu Moja mwaka 2025?

Kikundi cha watu wachache hawazidi 1000 wamewashika masikio Wana ccm tz nzima. Walisema fomu Moja kondoo wanainama ndiyo. Makamu mwenyekiti atakkuwa fulani kondoo wanainama ndiyo boss.

CCM huruma. Halafu asilimia kubwa ya wafuasi wa ccm ni wasio na elimu inayozidi darasa la 7 na wazee wengine ambao hawajasoma kabisa. Kwahiyo wasomi wachache walioko chamani mnawaendesha sana.
 
Back
Top Bottom