Tulimgalagaza wenje aliekuwa na influence ya lowasaa, sembuse hoyoo kijanaaa?? Atagalagazwaa asubuhiii saaanaa. Hapa mwanza town ni mabula + mabulaa.
Mlimgalagaza wenje? Yaani bada ya kuiba kura na kushinda kwa gap ya kura elfu 2 ndio kumgaragaza? Acha utani wewe. Kama sio Mkapa hilo jimbo mngelisikia kwenye bomba.Tulimgalagaza wenje aliekuwa na influence ya lowasaa, sembuse hoyoo kijanaaa?? Atagalagazwaa asubuhiii saaanaa. Hapa mwanza town ni mabula + mabulaa.
Kama aliiibiwa mbona hakupiga yowee?Mlimgalagaza wenje? Yaani bada ya kuiba kura na kushinda kwa gap ya kura elfu 2 ndio kumgaragaza? Acha utani wewe. Kama sio Mkapa hilo jimbo mngelisikia kwenye bomba.
Tarehe 28/10/2020 mtatuambia hizo PISI mlikuwa mnapisi vitu gani na huyo.Ongezea na hii Pisi ya kule Momba View attachment 1575488
Shida unacomment upo Buza wote mnafahamu Wenje alienda mahakamani akiwa na fomu zake zote kuonyesha aliongoza ila ndio hivo technicality za kimahakama zikamuokoa Mabula otherwise alimzidi kwa gap ya zaidi ya kura elfu 3. Hili muulize mtu yeyote wa CCM mwanza analifahamu vzuri sana.Kama aliiibiwa mbona hakupiga yowee??
Hoja inasema wagombea wapya ww unasogeza goli eti ushindi?Tarehe 28/10/2020 mtatuambia hizo PISI mlikuwa mnapisi vitu gani na huyo.
Kwa hizo picha, Mwenyekiti Mbowe lazima aendelee kugombea ubunge! Urais ungemkosesha mengi! Ahahahahahahaja!View attachment 1575493View attachment 1575494
By the way mwaka huu wagombea ubunge wanawake ni 70. Ni rekodi tokea uhuru na ww unafahamu wapiga kura wengi ni wanawake then kwa trend hiyo unajifunza nni?
Kwahiyo huyo mgombea wenu ni PISI? haa haaaa. Kwahiyo badala ya kuweka mgombea nyinyi mumetuletea PISI. Hivi chadema mna nini kimewavuruga mwaka huuu?? Yaaaniii tutawagaragaza hadi mtueleze kwa nini mgombea wenu ni PISI.Hoja inasema wagombea wapya ww unasogeza goli eti ushindi?
Btw huyo ni binti as long as kura za ubunge za nchi nzima zikivuka 5% basi tegemea kuona hao waliogombea majimboni na kuanguka wakiingia bungeni kwa mlango mwingine.
Siasa ni hesabu sio kelele za mitandaoni
Kwa nini hakushinda?? Kama aliibiwaa?? Subirini kipigo kingine kikubwaaaa, mwaka huuuu mkipata atadiwani wa dawa inchinzimaa, mtakua mumeshinda uchaguziShida unacomment upo Buza wote mnafahamu Wenje alienda mahakamani akiwa na fomu zake zote kuonyesha aliongoza ila ndio hivo technicality za kimahakama zikamuokoa Mabula otherwise alimzidi kwa gap ya zaidi ya kura elfu 3. Hili muulize mtu yeyote wa CCM mwanza analifahamu vzuri sana.
CHADEMA is a force to reckon with. Hilo hata CCM wanafahamu. Ngoja ifike tarehe 26 oktoba figisu figisu zitakavyoanza maana mnajua uchaguzi ukiwa huru na haki kura nyingi mtapotezaKwa nini hakushinda? Kama aliibiwaa?? Subirini kipigo kingine kikubwaaaa, mwaka huuuu mkipata atadiwani wa dawa inchinzimaa, mtakua mumeshinda uchaguzi
Kama mnajua uchaguzi sio huru na haki, sasa mnafanya kampeni za nini?CHADEMA is a force to reckon with. Hilo hata CCM wanafahamu. Ngoja ifike tarehe 26 oktoba figisu figisu zitakavyoanza maana mnajua uchaguzi ukiwa huru na haki kura nyingi mtapoteza
Silinde kamkimbia huyu?Ongezea na hii Pisi ya kule Momba View attachment 1575488
Yeah kajua asingefurukuta kwa pini yenye nondo kma hiyo.Silinde kamkimbia huyu?