Kukosekana kwa Sura mpya za Wagombea ubunge CHADEMA kunaashiria kutokubalika

Haupo sensible,
Unajua kabisa wabunge wamekatwa na tume halafu unaongea hivi.
Hii nchi haiwezi kusonga mbele ikiwa wananchi wataendelea kuwa wafia matumbo yao kiasi hiki.
Wabunge wangapi wamekatwa na wangapi wamebaki?
kati ya waliobaki wepi ni ingizo jipya lenye tija?
 
Wananchi wanaongea
 

sasa watasema nn wakati kiongozi wao hata kuchana naywele anashindwa
 
M Hamuendi kujadili kitu bungeni Nyie wapuuzi tu.ndo maana mkiambiwa ukweli mnakimbilia TUME YA UCHAGUZI!
LUKUVI NI SURA MPYA?
MWIGULU JE
HATA KAPUYA NAE
GWAJIMA ANAWEZA KUWA CHACHU YA MAJADILIANO GANI YULE?
 
hii ni sababu mojawapo iliyowafanya waangukie pua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…