Kukosekana kwa Umoja na mshikamano ndani ya Yanga kesho wanakwenda kuaga mashindano ya CAF Championship 2024 vs TP Mazembe

Kukosekana kwa Umoja na mshikamano ndani ya Yanga kesho wanakwenda kuaga mashindano ya CAF Championship 2024 vs TP Mazembe

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Kesho wana Yanga msipoteze muda wenu kuwa na matumaini kule Congo vs TP Mazembe.

Mgogoro ule uliokumba Simba miaka 3 nyuma umehamia Yanga.

Nimemsikiliza kwa umakini mkubwa babake Haji Manara, Sunday Manara akimlaumu sana Injinia Hersi na wenzake ndani ya Yanga.

Mzee Manara anamuona Hersi na wenzake wanajiona wana hela hivyo wana viburi na hawataki kushirikisha wenzao kuhusu mambo ya Yanga.

Mzee Manara analia sababu za Gamond kuondolewa ghafla halafu hapo hapo kesho kocha mjerumani mzee wa Gusa achia twende kwao anatua kufundisha Yanga

Mzee Manara analalamika Kwanini Sure Boy, Mkude hawachezi wakati wana uwezo.

Mzee Manara anapinga Israel Mwenda kusajiliwa Yanga akidai uwezo wake ni mdogo sana na hawezi kuwa msaada kwa Yanga

Ameongea mengi lakini kiufupi haridhishwi na uongozi wa Yanga unavyoendesha mambo ya timu, timu imekuwa Genge la watu wachache tu ambao wanaamua wapendavyo.

Simba na Yanga zinaendeshwa sana na Utamaduni, Wazee wala viongozi hawachezi lakini ukweli ni kuwa mshikamano ukikosekana ushindi haupatikani.

Ushindi wa timu hizi hautegemei sana uwezo wa kına Gamondi ndio maana wamemtema katika kipindi kigumu sana lakini wao wanajua ushindi unategemea sana nje kuliko utaalamu.

Kwa kukosekana Umoja na mshikamano na Kama mimi nadanganya kesho Yanga akishinda kule Congo msiniamini tena na nichukuliwe Kama Kibaka tu
 
Kesho wana Yanga msipoteze muda wenu kuwa na matumaini kule Congo vs TP Mazembe.

Mgogoro ule uliokumba Simba miaka 3 nyuma umehamia Yanga.

Nimemsikiliza kwa umakini mkubwa babake Haji Manara, Sunday Manara akimlaumu sana Injinia Hersi na wenzake ndani ya Yanga.

Mzee Manara anamuona Hersi na wenzake wanajiona wana hela hivyo wana viburi na hawataki kushirikisha wenzao kuhusu mambo ya Yanga.

Mzee Manara analia sababu za Gamond kuondolewa ghafla halafu hapo hapo kesho kocha mjerumani mzee wa Gusa achia twende kwao anatua kufundisha Yanga

Mzee Manara analalamika Kwanini Sure Boy, Mkude hawachezi wakati wana uwezo.

Mzee Manara anapinga Israel Mwenda kusajiliwa Yanga akidai uwezo wake ni mdogo sana na hawezi kuwa msaada kwa Yanga

Ameongea mengi lakini kiufupi haridhishwi na uongozi wa Yanga unavyoendesha mambo ya timu, timu imekuwa Genge la watu wachache tu ambao wanaamua wapendavyo.

Simba na Yanga zinaendeshwa sana na Utamaduni, Wazee wala viongozi hawachezi lakini ukweli ni kuwa mshikamano ukikosekana ushindi haupatikani.

Ushindi wa timu hizi hautegemei sana uwezo wa kına Gamondi ndio maana wamemtema katika kipindi kigumu sana lakini wao wanajua ushindi unategemea sana nje kuliko utaalamu.

Kwa kukosekana Umoja na mshikamano na Kama mimi nadanganya kesho Yanga akishinda kule Congo msiniamini tena na nichukuliwe Kama Kibaka tu
Nilivyosoma hapo mwisho eti ushindi unategemea nje na kuliko utaalamu nikajua muandishi ni kichwa maji
 
Kesho wana Yanga msipoteze muda wenu kuwa na matumaini kule Congo vs TP Mazembe.

Mgogoro ule uliokumba Simba miaka 3 nyuma umehamia Yanga.

Nimemsikiliza kwa umakini mkubwa babake Haji Manara, Sunday Manara akimlaumu sana Injinia Hersi na wenzake ndani ya Yanga.

Mzee Manara anamuona Hersi na wenzake wanajiona wana hela hivyo wana viburi na hawataki kushirikisha wenzao kuhusu mambo ya Yanga.

Mzee Manara analia sababu za Gamond kuondolewa ghafla halafu hapo hapo kesho kocha mjerumani mzee wa Gusa achia twende kwao anatua kufundisha Yanga

Mzee Manara analalamika Kwanini Sure Boy, Mkude hawachezi wakati wana uwezo.

Mzee Manara anapinga Israel Mwenda kusajiliwa Yanga akidai uwezo wake ni mdogo sana na hawezi kuwa msaada kwa Yanga

Ameongea mengi lakini kiufupi haridhishwi na uongozi wa Yanga unavyoendesha mambo ya timu, timu imekuwa Genge la watu wachache tu ambao wanaamua wapendavyo.

Simba na Yanga zinaendeshwa sana na Utamaduni, Wazee wala viongozi hawachezi lakini ukweli ni kuwa mshikamano ukikosekana ushindi haupatikani.

Ushindi wa timu hizi hautegemei sana uwezo wa kına Gamondi ndio maana wamemtema katika kipindi kigumu sana lakini wao wanajua ushindi unategemea sana nje kuliko utaalamu.

Kwa kukosekana Umoja na mshikamano na Kama mimi nadanganya kesho Yanga akishinda kule Congo msiniamini tena na nichukuliwe Kama Kibaka tu
Mzee Magoma apewe timu!!
 
Kesho wana Yanga msipoteze muda wenu kuwa na matumaini kule Congo vs TP Mazembe.

Mgogoro ule uliokumba Simba miaka 3 nyuma umehamia Yanga.

Nimemsikiliza kwa umakini mkubwa babake Haji Manara, Sunday Manara akimlaumu sana Injinia Hersi na wenzake ndani ya Yanga.

Mzee Manara anamuona Hersi na wenzake wanajiona wana hela hivyo wana viburi na hawataki kushirikisha wenzao kuhusu mambo ya Yanga.

Mzee Manara analia sababu za Gamond kuondolewa ghafla halafu hapo hapo kesho kocha mjerumani mzee wa Gusa achia twende kwao anatua kufundisha Yanga

Mzee Manara analalamika Kwanini Sure Boy, Mkude hawachezi wakati wana uwezo.

Mzee Manara anapinga Israel Mwenda kusajiliwa Yanga akidai uwezo wake ni mdogo sana na hawezi kuwa msaada kwa Yanga

Ameongea mengi lakini kiufupi haridhishwi na uongozi wa Yanga unavyoendesha mambo ya timu, timu imekuwa Genge la watu wachache tu ambao wanaamua wapendavyo.

Simba na Yanga zinaendeshwa sana na Utamaduni, Wazee wala viongozi hawachezi lakini ukweli ni kuwa mshikamano ukikosekana ushindi haupatikani.

Ushindi wa timu hizi hautegemei sana uwezo wa kına Gamondi ndio maana wamemtema katika kipindi kigumu sana lakini wao wanajua ushindi unategemea sana nje kuliko utaalamu.

Kwa kukosekana Umoja na mshikamano na Kama mimi nadanganya kesho Yanga akishinda kule Congo msiniamini tena na nichukuliwe Kama Kibaka tu
Injinia kadanganywa na akina ally kamwe na genge lake niliwaambaia mapema sana kuwa yanga hafiki popote mechi za kimataifa na ligi KUU hata chukua ubingwa wote kwa sababu ya kiburi cha me injinia.timu ni nzuri sana miezi michache nyums imechuku Toyota cup na kufanya vizuri eti Leo wachezaji hawafai injinia amka usingizini machawa wanakuponza hao wanachojua ni tumbo lao tu utaharibikiwa sifa yote uliyopata itaisha nakuwa kama mchawi.
 
Mimi na mke wangu mama kilakshari tunaitakia yanga migogoro ya kudumu yaani migogoro iongezeke na isiishe.

Watifuane,wachapane,walogane then watengane kila mtu amuone mwenzake mbaya.

Pia mimi na mke wangu mama kilakshari tunaitakia Tp mazembe ushindi mnono wa magoli 3.

Wakati mazembe anajiandaa na mechi yake dhidi ya uto mimi na mke wangu mama kilakshari acha tumalizie mechi yetu na kwa taarifa yenu naongoza 3 bila.

"SIMBA NGUVU MOYAA"
 
Kesho wana Yanga msipoteze muda wenu kuwa na matumaini kule Congo vs TP Mazembe.

Mgogoro ule uliokumba Simba miaka 3 nyuma umehamia Yanga.

Nimemsikiliza kwa umakini mkubwa babake Haji Manara, Sunday Manara akimlaumu sana Injinia Hersi na wenzake ndani ya Yanga.

Mzee Manara anamuona Hersi na wenzake wanajiona wana hela hivyo wana viburi na hawataki kushirikisha wenzao kuhusu mambo ya Yanga.

Mzee Manara analia sababu za Gamond kuondolewa ghafla halafu hapo hapo kesho kocha mjerumani mzee wa Gusa achia twende kwao anatua kufundisha Yanga

Mzee Manara analalamika Kwanini Sure Boy, Mkude hawachezi wakati wana uwezo.

Mzee Manara anapinga Israel Mwenda kusajiliwa Yanga akidai uwezo wake ni mdogo sana na hawezi kuwa msaada kwa Yanga

Ameongea mengi lakini kiufupi haridhishwi na uongozi wa Yanga unavyoendesha mambo ya timu, timu imekuwa Genge la watu wachache tu ambao wanaamua wapendavyo.

Simba na Yanga zinaendeshwa sana na Utamaduni, Wazee wala viongozi hawachezi lakini ukweli ni kuwa mshikamano ukikosekana ushindi haupatikani.

Ushindi wa timu hizi hautegemei sana uwezo wa kına Gamondi ndio maana wamemtema katika kipindi kigumu sana lakini wao wanajua ushindi unategemea sana nje kuliko utaalamu.

Kwa kukosekana Umoja na mshikamano na Kama mimi nadanganya kesho Yanga akishinda kule Congo msiniamini tena na nichukuliwe Kama Kibaka tu
uto wamebanana na uchawi huyu Mzee asiihusishe Simba kwenye uchawi japo haya mambo yako lakini Utopolo wamezidi sasahivi wako live,imagine kila dabi timu iko tayr kupigwa faini kisa tu kuamini uchawi acheni uchawiiiii,,,,NIDDLE FC📌
 
Kesho wana Yanga msipoteze muda wenu kuwa na matumaini kule Congo vs TP Mazembe.

Mgogoro ule uliokumba Simba miaka 3 nyuma umehamia Yanga.

Nimemsikiliza kwa umakini mkubwa babake Haji Manara, Sunday Manara akimlaumu sana Injinia Hersi na wenzake ndani ya Yanga.

Mzee Manara anamuona Hersi na wenzake wanajiona wana hela hivyo wana viburi na hawataki kushirikisha wenzao kuhusu mambo ya Yanga.

Mzee Manara analia sababu za Gamond kuondolewa ghafla halafu hapo hapo kesho kocha mjerumani mzee wa Gusa achia twende kwao anatua kufundisha Yanga

Mzee Manara analalamika Kwanini Sure Boy, Mkude hawachezi wakati wana uwezo.

Mzee Manara anapinga Israel Mwenda kusajiliwa Yanga akidai uwezo wake ni mdogo sana na hawezi kuwa msaada kwa Yanga

Ameongea mengi lakini kiufupi haridhishwi na uongozi wa Yanga unavyoendesha mambo ya timu, timu imekuwa Genge la watu wachache tu ambao wanaamua wapendavyo.

Simba na Yanga zinaendeshwa sana na Utamaduni, Wazee wala viongozi hawachezi lakini ukweli ni kuwa mshikamano ukikosekana ushindi haupatikani.

Ushindi wa timu hizi hautegemei sana uwezo wa kına Gamondi ndio maana wamemtema katika kipindi kigumu sana lakini wao wanajua ushindi unategemea sana nje kuliko utaalamu.

Kwa kukosekana Umoja na mshikamano na Kama mimi nadanganya kesho Yanga akishinda kule Congo msiniamini tena na nichukuliwe Kama Kibaka tu
Hawa matajiri wa kibongo wanatuharibia timu zenu kwa kutuona sisi tusiye na pesa ni wajinga.huwezi fanya maamuzi ya kijinga kama anayoyafanya Hersi.kuna umuhimu timu zetu zikawa kampuni watu tununue share kuliko kuwategemea hao wapuuzi
 
Mimi na mke wangu mama kilakshari tunaitakia yanga migogoro ya kudumu yaani migogoro iongezeke na isiishe.

Watifuane,wachapane,walogane then watengane kila mtu amuone mwenzake mbaya.

Pia mimi na mke wangu mama kilakshari tunaitakia Tp mazembe ushindi mnono wa magoli 3.

Wakati mazembe anajiandaa na mechi yake dhidi ya uto mimi na mke wangu mama kilakshari acha tumalizie mechi yetu na kwa taarifa yenu naongoza 3 bila.

"SIMBA NGUVU MOYAA"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom