C CHANG'OMBE Member Joined Jul 22, 2012 Posts 19 Reaction score 6 Feb 15, 2013 Thread starter #21 Mama Timmy afadhali umenitoa kimaso maso kwa kusema wapo na kutoa sifa za kuku hao. Je, unawafahamu wafugaji wa kuku hao?
Mama Timmy afadhali umenitoa kimaso maso kwa kusema wapo na kutoa sifa za kuku hao. Je, unawafahamu wafugaji wa kuku hao?
M Mama timmy JF-Expert Member Joined Jan 2, 2013 Posts 656 Reaction score 212 Feb 15, 2013 #22 CHANG'OMBE said: Mama Timmy afadhali umenitoa kimaso maso kwa kusema wapo na kutoa sifa za kuku hao. Je, unawafahamu wafugaji wa kuku hao? Click to expand... Kiukweli wafugaji wake siwafahamu ila unaweza ukawakuta katiba kundi la kuku wa kienyeji.kwakuwa sifa zake unazijua basi utaweza kumtofautisha na wengine kana unavyomtofautisha kuchi,kinyavu,kishingo,chotara,n.k
CHANG'OMBE said: Mama Timmy afadhali umenitoa kimaso maso kwa kusema wapo na kutoa sifa za kuku hao. Je, unawafahamu wafugaji wa kuku hao? Click to expand... Kiukweli wafugaji wake siwafahamu ila unaweza ukawakuta katiba kundi la kuku wa kienyeji.kwakuwa sifa zake unazijua basi utaweza kumtofautisha na wengine kana unavyomtofautisha kuchi,kinyavu,kishingo,chotara,n.k
MAMESHO JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 1,432 Reaction score 1,738 Feb 22, 2019 #23 wakuu hiyo aina ya kuku kweli IPO nami nilikuwa mgumu kukubali ila nimepata kitabu ambacho kinataja aina hiyo Attachments 2019-02-22 16.22.54.jpg 107.5 KB · Views: 37 2019-02-22 16.22.14.jpg 115.6 KB · Views: 40 2019-02-22 16.23.34.jpg 127.2 KB · Views: 43
wakuu hiyo aina ya kuku kweli IPO nami nilikuwa mgumu kukubali ila nimepata kitabu ambacho kinataja aina hiyo