Kuku aina ya SASSO wakiwa na siku 52

Ni kweli ni wazuri mimi niliwapata kutoka silverlands. Ila wanashida moja inayonikera! Wanadonoana sana japokuwa nawapa Chakula muda wote na vitamins zote zinazotakiwa. Mpaka sasa wameshakufa watano kwa kutoboana matumbo, na wanawiki tano sasa.
 
Ni kweli ni wazuri mimi niliwapata kutoka silverlands. Ila wanashida moja inayonikera! Wanadonoana sana japokuwa nawapa Chakula muda wote na vitamins zote zinazotakiwa. Mpaka sasa wameshakufa watano kwa kutoboana matumbo, na wanawiki tano sasa.
Punguza midomo yao pia wawekee majani yakutosha huwa inasababishwa na upungufu wa madini ya chuma pia inawezekana ni tabia ya hao kuku
 
Punguza midomo yao pia wawekee majani yakutosha huwa inasababishwa na upungufu wa madini ya chuma pia inawezekana ni tabia ya hao kuku
Majani kwa maana ya mboga mboga? Kama mchicha, ndicho unachomaanisha mkuu
 
Majani kwa maana ya mboga mboga? Kama mchicha, ndicho unachomaanisha mkuu
Ndio pia kuna majani yakawaida kama makengera , majani ya magimbi na mengineyo kama huna unaweza kuyapanda yakamea ktk bustani kwa ajili ya kuku
 
Sasso Ni Kuku Wazuri, Tena Kutoka Nzua enterprises Tegeta, Mimi Nimenunua Hapo Ingawa Nilipata Shida Za Vifo Lakini Ni Wazuri Na Ukufuga Kwa Lengo Utafanikiwa
Nahtaji mayai ya sasso yakutotolesha nipo mbeya naomba msaada kwa mwenye nao
 
Yaani umeongea pointi, hawa Kuku wapo kwa ajili ya kuserve the same purpose kama boiler jaribu kufuatilia vipeperushi vyao. Hawatagi hata wakitaga ni kidogo, wadhaifu kwa magonjwa na nyama yake haikomai. Utakuta kuku umbo kubwa lkn ukimchinja nyama take teke sana.
 
Wakuu sijaacha kufuga kuku ,kwa sasa nafuga kuroiler na aina zingine .kwa ajili ya kutaga na wanataga kweli kweli ukiwajulia.na pia nauza majogoo tu Mbegu nzuri kwa bei 20,000@
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…