INNOMATHEU
Member
- Jan 9, 2015
- 60
- 20
Punguza midomo yao pia wawekee majani yakutosha huwa inasababishwa na upungufu wa madini ya chuma pia inawezekana ni tabia ya hao kukuNi kweli ni wazuri mimi niliwapata kutoka silverlands. Ila wanashida moja inayonikera! Wanadonoana sana japokuwa nawapa Chakula muda wote na vitamins zote zinazotakiwa. Mpaka sasa wameshakufa watano kwa kutoboana matumbo, na wanawiki tano sasa.
Majani kwa maana ya mboga mboga? Kama mchicha, ndicho unachomaanisha mkuuPunguza midomo yao pia wawekee majani yakutosha huwa inasababishwa na upungufu wa madini ya chuma pia inawezekana ni tabia ya hao kuku
Ndio pia kuna majani yakawaida kama makengera , majani ya magimbi na mengineyo kama huna unaweza kuyapanda yakamea ktk bustani kwa ajili ya kukuMajani kwa maana ya mboga mboga? Kama mchicha, ndicho unachomaanisha mkuu
Nahtaji mayai ya sasso yakutotolesha nipo mbeya naomba msaada kwa mwenye naoSasso Ni Kuku Wazuri, Tena Kutoka Nzua enterprises Tegeta, Mimi Nimenunua Hapo Ingawa Nilipata Shida Za Vifo Lakini Ni Wazuri Na Ukufuga Kwa Lengo Utafanikiwa
HAkuna kampuni nyingine yenye kuuza vifaranga vya nzowa? msaada wen wana jamvi
Yaani umeongea pointi, hawa Kuku wapo kwa ajili ya kuserve the same purpose kama boiler jaribu kufuatilia vipeperushi vyao. Hawatagi hata wakitaga ni kidogo, wadhaifu kwa magonjwa na nyama yake haikomai. Utakuta kuku umbo kubwa lkn ukimchinja nyama take teke sana.Mimi nami nilisikia sifa zake nikawanunua january 21 wakiwa wa day one, vifaranga vilikuwa vikubwa mpaka raha...nikawapa chanjo zote kwa kufuata taratibu zinazoshauriwa. Lakini mwezi wa 6 walipukutika kama maji kwa ugonjwa wa mafua...hawakusilia dawa wala nn..ikinifanya nikate tamaa.
wale waliobaki hawajataga mpaka leo.
kwa uchunguzi wangu si wavumilivu kwa magonjwa wala njaa!!
sitaki kabisa kuwasikia hawa kuku..wa malawi wako vizuri sana.
Nitaendelea kuwafuga wa malawi
Silver sands no Yao ya simu 0655 403 099HAkuna kampuni nyingine yenye kuuza vifaranga vya nzowa? msaada wen wana jamvi
Bado unauza kuchi uko wapi na ni bei gani?Tafadhari nitumie namba ya simu!!