Kuku ana ugonjwa

mandwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
1,493
Reaction score
361
Habari,wadau kuku wangu anaumwa ametaga mayai2 tu leo anaumwa
Kapooza,anaharisha hata mayai yake kwa nje ya gamba kuna damu
Nisaidieni nimpatie dawa gani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mtwangie pilipili den changany na maj upate solution nzito den uwe unamnywesha
 
kafa kuku mwenyewe
 
pilipili siyo dawa

Me nnayekwambia ni dawa coz nmeitumia na imeonyesha matokeo mazur kwa kuku wang mpk sasa wanaendelea frxh wamepona,sas ww unayesema sio dawa embu nambie dawa ni ip bhas kwa faida ya mtoa mada
 
Huo Ugonjwa jina lake ni Tusi kwa Lugha ya Kihehe Unaitwa Mdondo...(Uume)
 
Uyo kuku ana dalili za cosdiosis inatibiwa na dawa zotecza oma ya ma2mbo kwa msaada zaidi onana na mtaalam uliye karibu naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…