mseminari mdogo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 228
- 146
Tafadhali karibu sana ..tufaidike na we ufaidi... JF ni bahari kuu!!!Habari wana jamvi.
Nipo nanyi jamvini kuweza shiriki nanyi Kubadilishana mawazo. Hii ni Mara yangu ya kwanza kuwemo humu. Hope tutashirikiana
vipi kwani kumejaaHivi bado kuna wageni wanaingia!!?
Asanteni wanaodhani ni muhimu watu wengine waingie ili tujuzane ya maana.
Huwezi kusonga mbele kama watu ni wale
mfumo ni ule ule
kufikiri ni kule kule
kutenda ni kule kule
Lakini hata namna ya ya kuwajibisha ni vile vile
Nadhani fikra mpya ni muhimu pia.
Unafikiri miye temba? Ni jogoo la kupanda mitetea yoteView attachment 317499 Karibu kuku Jogoo yupo kukupokea
Duuu....!!!Unafikiri miye temba? Ni jogoo la kupanda mitetea yote
Wapo usiufunge mlango kwanza.Hivi bado kuna wageni wanaingia!!?