Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka nijiite luis Figo ama John Makelele. Kuna mtu anaitwa mume wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Multiple IDs mtu wa humu humu anajidai mpya.
Multiple IDs mtu wa humu humu anajidai mpya.
Nilikuwa najifunza nimejua jinsi ya kujibu ndio maana nikajibu hivyo..maana anauliza swali ambalo nisawa na kumuuliza mtu kwanini umezaliwa. Nashukuru kwa kunipokea Comredi utanifunza mitaaNi kweli kabisa
Ukiwa mgeni huwezi jibu hivyo
Hapana mimi mgeni 200220 ndio nimeingia humu ila baada ya kukaribishwa unakarahishwaMultiple IDs mtu wa humu humu anajidai mpya.
Karibu JfNilikuwa najifunza nimejua jinsi ya kujibu ndio maana nikajibu hivyo..maana anauliza swali ambalo nisawa na kumuuliza mtu kwanini umezaliwa. Nashukuru kwa kunipokea Comredi utanifunza mitaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kama mgeni ni kama vile kwenu kuna baiskeli unaiona ila haujui kuendesha siku ukijua kuendesha hautokuwa mgeni nayo sema utajifunza zaidi je humu kuna mitaa mingapi?Karibu Jf
Ulikuwa unaingia as a guest
Maana una uzoefu ,
Mitaa ipo mingi kama jukwaa chit chat , habari na mchanganyiko , dini , mahusiano mapenzi na urafiki , celebrities ,chef , kazi na ajira , jf doctor , na mengineyoNi kweli kama mgeni ni kama vile kwenu kuna baiskeli unaiona ila haujui kuendesha siku ukijua kuendesha hautokuwa mgeni nayo sema utajifunza zaidi je humu kuna mitaa mingapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.