Kuku mgeni....

Kuku mgeni....

Karibu sana JF
Naona umeamua kujiita jina la kitoweo...angalia mkuu leo sikukuu watu wasije kukung'ang'ania
 
Karibu sana JF
Naona umeamua kujiita jina la kitoweo...angalia mkuu leo sikukuu watu wasije kukung'ang'ania
mkuu wewe ndio mkuu wa jukwaa hili, hongera sana.!!!
 
Shukrani mkuu ila wapo mabest wengine hapa kama Globu, Ulimakafu, Katavi huwa tunapishana tu muda wa kuwa hapa mlangoni

heshima yako mkuu na kwa wengine.!!
 
Shukrani mkuu ila wapo mabest wengine hapa kama Globu, Ulimakafu, Katavi huwa tunapishana tu muda wa kuwa hapa mlangoni

Mkuu watu8. Habari za sikukuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom