Kuku na yai nani mkubwa?

Kivyovyote mkubwa kuku sababu yai halitotoleki bila kulaliwa na kuku na zamani hakukuwa na incubator kwahiyo kuku nd mkubwa au unaonaje
 
Hamna mkubwa hapo kwasababu vyote vina relationship an vinategemeana kama hiv, Kama hakuna kuku bhac tambua hatupati yai na kama hakuna yai tambua hutupati Kuku, au unasemaje...🤔🤔
 
Yai lipi hilo? Na kuku gani huyo?. maana had lipatikane yai lazma kuwe na kuku ila linapototoa tu n kutoa kifaranga haliitwi yai tena hivo haliwez kuizidi kuku.
 
Yai lipi hilo? Na kuku gani huyo?. maana had lipatikane yai lazma kuwe na kuku ila linapototoa tu n kutoa kifaranga haliitwi yai tena hivo
Chukua hii itakusaidia
Nmejaribu kuchanganua kwa mara pili nimekuja na hii kumbuka kipindi cha Nabii NUHU kuna Urain bow ulitokea, Nabii Nuhu akaamrishwa na mungu achukue kila kiumbe jike na dume xaxa kama ni hivyo Kuku ndio alikuwa wa kwanza kuja hapa dunia ko kazi yake ikawa ni kutaga mayai na kutotoa
Tumalize kwa hii kuwa KUKU ni mkubwa kuliko YAI
Ila kwa sasa kutokana na teknologia kukua kasi ukifanya hata kuua kuku wote na Tubaki na mayai tu Kuku anapatikana kama kawaida ko hata Yai pia linaweza kuwa kubwa kuliko kuku
Sijui unanielewa
 
Nachojua yai linalo toa kifaranga linapasuka kwa hyo hakutakuwa na yai kumbw kuzud kile kifaranga tena.

Kuku mkubwa kuzid kifaranga
 
kuku aliumwa akawekewa mfumo wa kuzalisha yai kwa ndani, alipolitaka akalalia likaleta kifaranga aliyekua akawa kuku, hivyo ki itifaki na kiuhalisia kuku ni mkubwa tena kamuacha yai miaka kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…