Kuku pure wa kienyeji wa mayai & Kuku weusi wa Malawi

Kuku pure wa kienyeji wa mayai & Kuku weusi wa Malawi

The GT

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
461
Reaction score
529
Habari ndugu wajasiriamali kupitia ufugaji wa kuku.

Nipo hapa kutaka kupata ufahamu zaidi juu ya kuku wa mayai kwa hoja zifuatazo:-

1.Nifuge kuku wapi kati ya kuku wa weusi wa Malawi au kuku pure wa kienyeji kwa ajili ya mayai?

2.Je,kuku pure wa kienyeji wakilishwa chakula bora wanaweza kutaga daily pasipo kukoma kama asili yao ilivyo?
MFANO.
Una kuku 200,je,itawezekana kila siku wakataga kuku wote na ukapata mayai 200 na rate ya utagaji huo ukawa continuously hadi umri wa kuzeeka kwao?

Nitashukuru kwa mawazo yenu,kwani mambo mengine nimeshafanya kama kutengeneza banda la kuku.
 
Habari ndugu wajasiriamali kupitia ufugaji wa kuku.

Nipo hapa kutaka kupata ufahamu zaidi juu ya kuku wa mayai kwa hoja zifuatazo:-

1.Nifuge kuku wapi kati ya kuku wa weusi wa Malawi au kuku pure wa kienyeji kwa ajili ya mayai?

2.Je,kuku pure wa kienyeji wakilishwa chakula bora wanaweza kutaga daily pasipo kukoma kama asili yao ilivyo?
MFANO.
Una kuku 200,je,itawezekana kila siku wakataga kuku wote na ukapata mayai 200 na rate ya utagaji huo ukawa continuously hadi umri wa kuzeeka kwao?

Nitashukuru kwa mawazo yenu,kwani mambo mengine nimeshafanya kama kutengeneza banda la kuku.

ukiwalisha vyema watataga lakini sio kama hao wakizungu, mzunguko ukiisha atasita kutagA na sidhani kama unaweza pata 100% kuku wote kutaga inaweza kuwa 70% to 90%
 
Kuku Weusi wa Malawi ni wazuri kwenye kutaga
Kuku wa kienyeji wakiw 200 hawawezi kutaga kwa pamoja kwa kuwa wanakikomo Cha utagaji ili Kuruhusu kuatamia.
Ukitaka atage itabidi umuondolee mazingira ya kuatamia na ndani ya siku tano atarudia kuanza kutaga
 
Iv Kuku gani wanasoko lisilosumbua kwa dar?? Mi nimeanza na wa Malawi ila naaikia watu wanapenda pure kienyeji..
 
Nilibahatika kuonq kipindi kimoja Star TV. Hivi ile product ya STAR CHICK waliyokuwa wanairusha NANI amewahi kuitumia?
 
Kuku wa Malawi unaweza pia fuga kama wa mayai. Unaweza fuga style yeyote unayotaka. Unaweza fuga kama wa nyama wanakua haraka sana. NA pia wanastahimili magonjwa. Mimi ni nazalisha vifaranga wake kama unahitaji please don't hesitate to pm me. Nipo songea. Naweza supply vifaranga 900 kwa wakati mmoja
 
Kuku wa Malawi unaweza pia fuga kama wa mayai. Unaweza fuga style yeyote unayotaka. Unaweza fuga kama wa nyama wanakua haraka sana. NA pia wanastahimili magonjwa. Mimi ni nazalisha vifaranga wake kama unahitaji please don't hesitate to pm me. Nipo songea. Naweza supply vifaranga 900 kwa wakati mmoja

Ningependa kujuwa aina ya mabanda na gharama zake.
Kuna style ngapi.
 
Kuku wa Malawi unaweza pia fuga kama wa mayai. Unaweza fuga style yeyote unayotaka. Unaweza fuga kama wa nyama wanakua haraka sana ni Call Kwa 0764711735 nataraji kuanza ufufaji kuku
 
Back
Top Bottom