Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
- Thread starter
-
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23]mwenye kuku ni mtu wa mbeya...Sasa leo ndiyo utanitambua ya kuwa mimi ni mfipa orijino kumbe nahangaika kutafuta kuku wangu kumbe umemchinja halafu unakuja kuweka promo huku lazima nikupige kitu kitanda cha sokwe
Hiyo ndio maana ya fidia, natafuna kila kitu..ahahaaaa hadi utumbo kweli wanaume wa dar mna mengi
alafu alikuwa anataga si bora ungekula mayai tu mkuu?Hiyo ndio maana ya fidia, natafuna kila kitu..
hayo ni mayai acha ushamba dogoDuh! jamaa umepika hadi map*****mbu yake, kweli unafidia.
Ni kajogo aisee , ila mara moja haihesabiki. Sio dhambialafu alikuwa anataga si bora ungekula mayai tu mkuu?
Kwan hata manyoya yenyewe atayaona basi, kuku kakamatiwa ndani, kachinjwa ndani., kanyonyolewa ndani., na manyoya naenda kuyatupa mtoni...Jirani yako akiona manyoya ajue ndo hivyo tena
Hiki cha mama roda kilikua kisumbufu sana.Wanaume wa dar ndo mambo yenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwan hata manyoya yenyewe atayaona basi, kuku kakamatiwa ndani, kachinjwa ndani., kanyonyolewa ndani., na manyoya naenda kuyatupa mtoni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu wewe ni hatariiKwan hata manyoya yenyewe atayaona basi, kuku kakamatiwa ndani, kachinjwa ndani., kanyonyolewa ndani., na manyoya naenda kuyatupa mtoni...
Kumbe story yako imebase kutokana na nyimbo ya Mez B ya Kikuku cha mama Roda..!!Hiki cha mama roda kilikua kisumbufu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we bhana, inaonesha una uzoefu na nyumba za wagangaWewe ulikuwa mwizi,na sasa ni nganga wa kienyeji,maisha yako yanaonyeshwa na mkeka wako pamoja sufuria kuukuu.