Kuku wa kienyeji 10,000 - 12,000 TZS

Kuku wa kienyeji 10,000 - 12,000 TZS

BusinessWoman

Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
5
Reaction score
3
Wakuu,

Nauza kuku wa kienyeji ambao wamekwisha chinjwa tayari kwa sh 10,000 mpaka 12,000. Nipo maeneo ya Mbezi Beach ila ikibidi naweza kukufikishia ulipo (utagharamia usafiri). Kama una uhitaji toa order yako mapema maana nikileta hazikai sana.
 
Mbezi beach wapi?simu?
ukichinja kabisa firigisi unaweka au unachukua?
uzito wa kuku ni kilo ngapi? wanakaa siku ngapi kwenye friji?
 
Mbezi beach wapi?simu?
ukichinja kabisa firigisi unaweka au unachukua?
uzito wa kuku ni kilo ngapi? wanakaa siku ngapi kwenye friji?

Samahani The Boss kwa kukawia kukujibu, busy weekend. Anyway, nipo Mbezi beach Jogoo, simu nafanyia kazi kupata ambayo itakuwa ya kiofisi tu ikiwa tayari utapata. Kama wateja wakitaka wawe wanapata na firigis/maini basi itakuwa hivyo, nilikuwa sijaamua bado maana ambao wameshanunua hawakujali.

Wanaanzia kg 1.2 na kuendelea. Alafu mpaka sasa hivi hawajawahi kukaa zaidi ya siku tatu. Nijulishe kama kuna kitu kingine ungependa kujua au kama uko interested.
 
Last edited by a moderator:
Samahani The Boss kwa kukawia kukujibu, busy weekend. Anyway, nipo Mbezi beach Jogoo, simu nafanyia kazi kupata ambayo itakuwa ya kiofisi tu ikiwa tayari utapata. Kama wateja wakitaka wawe wanapata na firigis/maini basi itakuwa hivyo, nilikuwa sijaamua bado maana ambao wameshanunua hawakujali.

Wanaanzia kg 1.2 na kuendelea. Alafu mpaka sasa hivi hawajawahi kukaa zaidi ya siku tatu. Nijulishe kama kuna kitu kingine ungependa kujua au kama uko interested.

Jogoo wapi?tuje hapo hapo tuchague
 
Nitajuaje kama ni vibudu???

lukesam usijali ndugu ukitaka hata mzima ambae hajachinjwa sema utapata. Usiogope bei, nauza kwa bei hiyo ili watu wengi waweze ku-afford na kwasababu pia mimi napata kwa bei nzuri.
 
Last edited by a moderator:
lukesam usijali ndugu ukitaka hata mzima ambae hajachinjwa sema utapata. Usiogope bei, nauza kwa bei hiyo ili watu wengi waweze ku-afford na kwasababu pia mimi napata kwa bei nzuri.

Mkuu..kuna mtu anataka mitetea miwili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom