kuku wa kienyeji ni deal

kuku wa kienyeji ni deal

Mwangwala

New Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
4
Reaction score
9
nimejifunza mengi kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji humu JF na nimefanikiwa kujenga banda bora na kuanza ufugaji huo.MUNGU AWABARIKI WANA JF WALIONIFANYA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUFIKIA HATUA HII.
 
nimejifunza mengi kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji humu JF na nimefanikiwa kujenga banda bora na kuanza ufugaji huo.MUNGU AWABARIKI WANA JF WALIONIFANYA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUFIKIA HATUA HII.

Mkuu Mwangwala tunashukuru kwa taarifa nzuri sana. Tunaomba utupiamo na picha ndio ingekuwa nzuri ili uweze kutuinspire akina Tomaso (just kidding) kama mie. Tunatanguliza shukurani.
 
Wengi hum wanaongelea kufuga tu,bila kuuza.ukianza kuuza utupe uzoefu a-z.hongera
 
nimejifunza mengi kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji humu JF na nimefanikiwa kujenga banda bora na kuanza ufugaji huo.MUNGU AWABARIKI WANA JF WALIONIFANYA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUFIKIA HATUA HII.
Hongera kwa moyo wa kuwashukuru wataalamu humu JF. Ila funguka zaidi ili tujue hiyo hatua uliyofikia ni hatua gani!? Kama alivyosema mwana JF mmoja sema ili na wengine tuwe inspired mkuu. Tunasubiri kujua. Asante sana.
 
Back
Top Bottom