Kuku wa kienyeji wanahitajika

Kuku wa kienyeji wanahitajika

Uncertainty

Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70
Reaction score
27
ahsanteni sana wanajf mimi ninahitaji kuingia katika biashara hii ya ufugaji wa kuku hasa hawa wa kienyeji nimekamilisha kila litu ikiwemo kutengeneza banda na utaalam wa kisasa ila kwa bahati sijapata pa kununua hao kuku wa kienyeji wenye uhakika kwa hapa DAR ES SALAAM.
naomba kwa yeyote wenye kujua wapi wanapatikana kuku hawa ani PM tuweze kuwasiliana au anipigigie 0715739027
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWENU WOTE.😛oa
 
mimi ninao kama utakua unahitaji kwa idadi kubwa na kwa oda ni vizuri zaidi na tutafanya biashara kama upo sawa weka namba yako ya simu
 
Unataka idadi gan mkuu" na uko wapi? Ili kama ni wengi hata wa mikoan tuchangamkie dili.
 
Back
Top Bottom