likalangu fredy
Member
- Sep 11, 2014
- 47
- 7
jamani natafuta watu wenye shida na kuku wa kienyeji kutoka nauza kwa bei nafuu sana kuku,jogoo mmoja ni shilingi 12000 na tetea shilingi 10000,nipo mbeya ni kuku kutoka malawi.napokea order kuanzia kuku 100 nakuendelea,karibu sana-namba zetu ni 0764786277.
Duh! Mbeya to Arusha........Mi naona kama masafa mkuu!
Ngoja nifikirie nitarudi!
Hauna tawi jirani na Dar ndugu yangu?
Utakuwa na ile species ya israel?