Kuku wa kienyeji

Kuku wa kienyeji

hermanm

Member
Joined
Feb 27, 2013
Posts
35
Reaction score
11
Habari za Leo wadau..
Nafikiria kuanza kuuza kuku wa kienyeji, je kuna mtu anafahamu wapi naweza kununua kuku wa kienyeji kwa jumla kwa bei ya chini ili niweze kuja kuuza rejareja dar?
 
Nami pia natafuta ila sio wa kununua na kuuza moja kwa moja, natafuta wa kununua kwa bei ya chini niwafuge kwanza waongezeke.
 
Habari za Leo wadau..
Nafikiria kuanza kuuza kuku wa kienyeji, je kuna mtu anafahamu wapi naweza kununua kuku wa kienyeji kwa jumla kwa bei ya chini ili niweze kuja kuuza rejareja dar?

Singida bei powa
 
habari za leo wadau..
Nafikiria kuanza kuuza kuku wa kienyeji, je kuna mtu anafahamu wapi naweza kununua kuku wa kienyeji kwa jumla kwa bei ya chini ili niweze kuja kuuza rejareja dar?

singida kwa bei nafuu,ila kama unataka faida kubwa bora uwafuate mkoa wa rukwa jogoo kubwa unapata kwa chini ya sh.5000 ktk kijiji cha tamasenga x-wanga..
 
singida kwa bei nafuu,ila kama unataka faida kubwa bora uwafuate mkoa wa rukwa jogoo kubwa unapata kwa chini ya sh.5000 ktk kijiji cha tamasenga x-wanga..
Sumbawanga hadi Dar??
Vipi wafugaji wa Dar nahitaji kununua kabla hawajafika sokoni, wakiwa bado bandani
 
Habari za Leo wadau..
Nafikiria kuanza kuuza kuku wa kienyeji, je kuna mtu anafahamu wapi naweza kununua kuku wa kienyeji kwa jumla kwa bei ya chini ili niweze kuja kuuza rejareja dar?

Kuku wa kienyeji mara nyingi huwa na Faida sana kama ww mwenyewe utakua unawafuatilia huko huko Vijijini,
Kwa kua watu wanaoleta kutoka ktk vijiji ni Madalali, Hivyo huongeza bei ya kuku kutoka eneo moja mpaka lingine, Kwa mfano unaweza kupata kuku kwa Tsh 7,000 wewe ukaja kuuza Tsh10,000 .
 
Back
Top Bottom