Kuku wa kienyeji

Kuku wa kienyeji

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
571
Reaction score
156
Wadau, habari zenu?
Nina eneo dogo mjini (nyumbani kwangu), kuna eneo lenye ukubwa wa kama 25mx10m.
Nahitaji nifuge kuku wa kienyeji.
Nitakuwa natumia incubator
Nitakuwa nawalisha hydroponics fodder (kama Titus Mwema wa Kenya anavyofanya - check youtube).
Naweza kupata mtaalamu wa ku-design mabanda katika hilo eneo la 25mx10m ili nifuge hata kuku 5,000?
 
Mkuu kwnye hil hil jukwaa la ujasiriamali kuna uzi ulshawah kueleza mwanzo mwsho ufugaj wa kuku wa kienjej
kulea vifaranga
chakula chao mpaka watakpo kuwa

jinsi ya kuwapa chanjo na dawa

so ww jitahdi kuutafta huu uzi utakujbu maswal yote unanayotaka kuyafahamu na mengneo ambyo hukuwah kuyasikia popote.

kuhsu ujenzi wa bada ukijenga la matofali itakuwa poa zaid ila hata la mbao kwa mfumo wa kama gorofa sio mbaya

Anza na kuku wachache taratbu utaanza kujua magmjwa na matibab yake then ndio uanze kuwaongeza kidogokidogo mpaka upate idadi unayotaka
mtetea lazima wawe weng kuliko majogoo ratio ni 12:3

naktakia mafanikio mkuu.
 
Mkuu kwnye hil hil jukwaa la ujasiriamali kuna uzi ulshawah kueleza mwanzo mwsho ufugaj wa kuku wa kienjej
kulea vifaranga
chakula chao mpaka watakpo kuwa

jinsi ya kuwapa chanjo na dawa

so ww jitahdi kuutafta huu uzi utakujbu maswal yote unanayotaka kuyafahamu na mengneo ambyo hukuwah kuyasikia popote.

kuhsu ujenzi wa bada ukijenga la matofali itakuwa poa zaid ila hata la mbao kwa mfumo wa kama gorofa sio mbaya

Anza na kuku wachache taratbu utaanza kujua magmjwa na matibab yake then ndio uanze kuwaongeza kidogokidogo mpaka upate idadi unayotaka
mtetea lazima wawe weng kuliko majogoo ratio ni 12:3

naktakia mafanikio mkuu.

Asante sana mtena.
Nitafanya hivyo.
Wasiwasi wangu ni kuhusu hicho kiwango cha juu cha kuku, je naweza kuwatunza eneo kama hilo na kama ndiyo banda hilo la ghorofa lijengwe vipi? Ni nani anaweza ku-design na kujenga kwa ajili yangu?
Sitaki kuanza halafu nijikute natakiwa ninunue shamba Mkuranga wakati naishi Pugu.
Can that amount be accommodated in 25mx10m? How? Who can design for and with me?
Nataka medium scale poultry priduction, siyo kuku 100, 200 au eti 500. Japokuwa nitaanza na 100 kwanza.
 
kama alivyoshauri ndugu hapo juu...angalia sticky za jukwaa hili, majibu ya maswali yako mengi utayakuta kule!
 
Kumbe wengi twaaanza ufugaji wa kuku.
Mimi mwenyewe natafuta mtengeneza mabanda
 
Habari mkuu, karibu ufugaji. Kuku wa mayai wanahitaji eneo kubwa kidogo kuliko wa nyama. Mita moja ya eneo inatosha kuku hadi 10 wa kisasa wa nyama na 8-9 wa mayai. Kwa eneo lako baada ya kujenga nakisia utapata 23x9=220mita za eneo kwa wastani ambayo ni kuku 2200 hivi. Ni makisio pitia uzi wa Amani hapa amefundisha pia. Lakini kama utatumia cages itawezekana hizo waweza kupata kupitia SIDO na Balton jirani na Cocacola
Wadau, habari zenu?
Nina eneo dogo mjini (nyumbani kwangu), kuna eneo lenye ukubwa wa kama 25mx10m.
Nahitaji nifuge kuku wa kienyeji.
Nitakuwa natumia incubator
Nitakuwa nawalisha hydroponics fodder (kama Titus Mwema wa Kenya anavyofanya - check youtube).
Naweza kupata mtaalamu wa ku-design mabanda katika hilo eneo la 25mx10m ili nifuge hata kuku 5,000?
 
Mama Joe unaweza kutuwekea link ya huu uzi wa Amani. Thax
 
Last edited by a moderator:
Mama Joe unaweza kutuwekea link ya huu uzi wa Amani. Thax
 
Last edited by a moderator:
Kwa hilo eneo lako unaweza kufuga hata kuku 10000 lakini sio kwa mabanda una hitaji cages
 
Unaitwa... ni kwa wafugaji wanaoanza kufuga kuku....google Amani Ng'oma ni uzi mrefu wa siku nyingi. Kuhusu cages nilizitumia Ruvi Jkt. Mwaka juzi maonyesho sabasaba walileta lakini ni kwa kuku wa mayai maana inamchukua kuku mmoja na hawapandani. Kwa hawa wa kienyeji ni kufanya ubunifu wewe mwenyewe upate ghorofa ili wakae double juu na chini ingawa utakuwa na changamoto kuwafikia na risk ugonjwa ukiingia.... Wengine wachangie kwa uzoefu
Mama Joe unaweza kutuwekea link ya huu uzi wa Amani. Thax
 
Last edited by a moderator:
Unaitwa... ni kwa wafugaji
wanaoanza kufuga kuku....google Amani Ng'oma ni uzi mrefu wa siku
nyingi. Kuhusu cages nilizitumia Ruvi Jkt. Mwaka juzi maonyesho sabasaba
walileta lakini ni kwa kuku wa mayai maana inamchukua kuku mmoja na
hawapandani. Kwa hawa wa kienyeji ni kufanya ubunifu wewe mwenyewe upate
ghorofa ili wakae double juu na chini ingawa utakuwa na changamoto
kuwafikia na risk ugonjwa ukiingia.... Wengine wachangie kwa
uzoefu

asante sana.
 
Back
Top Bottom