King Kong ....think wise ... Muunge mkono mjasiliamali mwenzetu .... kuku wake ni fresh si kama wa supermarket na utumbo unapata firigisi na maini pia na miguuu hata manyoya ya mapambo
Mimi nakushauri msimu huu wa sikukuu weka mabanda madogo maeneo ya masoko kama buguruni, tandika, mbagala, tegeta, manzese n.k kisha subiri wateja. Ila bei mwisho 16,000/=