Kuku wa mayai layers uwekezaji kichaa

Kuku wa mayai layers uwekezaji kichaa

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Kiukweli hawa kuku wa mayai sioni uzur wake japo wasifika sana kwa utagaji lakini faida ya pesa na anaefuga kuku chotara ipo sawa.

Na hii kutokana na ghalama za chakula cha layers kuwa juu na ikiamua kutengeneza mwenye ndo balaa linakua kubwa cuz wanaweza kupunguza utagaji kutokana na chakula chako kinaweza kukosa kiwango sahihi


Lakn kuku chotara unawez kumuachia akajitafutia chakula mwenyewe na ukamtengenea mchanganyiko wa chakula ukampa kama ziada ili awe Strong


Apo apo kwenye utagaji hawatofautiani pia unaweza ukatotoresha ukawakuza wakiwa wakubwa unawauza nyama kwa bei nzur so kutokana na mazingira yetu bora tokamae na chotara wana Fiture nzur kama ukiwa smart anaweza kupiga pesa


Layes wakipunguz utagaji wanakula mataji matokeo yake inakuaje hapo? Nazani jibu ushelipata.


Ukifug kroila 500

Na mwenye layers 500 baada ya mwaka ww mweny kroila kweny profit utakua juu


Kuroila utauza mayai, utatotoresh vifaranga hat km soko la vifarang likawa sio zuri kutokn na mazingara uliyopo unaweza ukawakuza mwenyewe na ukawauz km nyama wakiwa wakubwa

Mfano ukichagua majogoo 500 ukiwakuza wakiwa wakubwa unawez kuuza kwa bei ya 20,000 msimu wa sikuu Apo ndani ya miezi 8 (in maximum)

20,000 mara 500 = 10,000,000 umekosa nn hapo?


Mweny layes ataishia kuuza mayai to.


So chamsing tuwe wabunifu na tuangalie mahitaji ya soko

Mfano mkoa wa Tanga huwa awazingatii sana ukubwa wa yai ila wanaangalia bei.


Kweny kuku hawa wakienyeji ndio wenye soko zaidi kuliko broilers na soko lake kubwa la kuku lipo kweny masoko


Mfano soko la Ngamiani mwenye vibanda mtani nk......



Kuroila is the best

Full stop
 
kuku wa mayai wanalipa sana tu kuliko hata hao kuroiler,sema ukitaka kuwafuga haihitaji kukurupuka watakutia hasara ila ukizingatia sheria wanalipa Sana ni Zaid hata ya Mara tatu ya kuroiler
 
Back
Top Bottom