Baba Richard Member Joined Apr 6, 2014 Posts 24 Reaction score 57 Mar 12, 2025 #1 Habari, nina kuku wa mayai 230. Wana miezi minne na wiki moja. Nimekwama kwenye kuwalisha. Bei ni tsh. 10,000 tu kwa kuku mmoja. Km upo interested nicheck kweny 0787329281 Au km yupo unaemfahamu anayetoa chakula cha kuku wa Layers kwa mkopo tafadhali nifahamishe. Natanguliza shukran
Habari, nina kuku wa mayai 230. Wana miezi minne na wiki moja. Nimekwama kwenye kuwalisha. Bei ni tsh. 10,000 tu kwa kuku mmoja. Km upo interested nicheck kweny 0787329281 Au km yupo unaemfahamu anayetoa chakula cha kuku wa Layers kwa mkopo tafadhali nifahamishe. Natanguliza shukran
fexcash JF-Expert Member Joined Jul 30, 2017 Posts 447 Reaction score 831 Mar 12, 2025 #2 Mzee kuku umewabonda sana hawa usipoangalia watadumaa. Anyway hamna chakula cha mkopo braza labda ukaombe mkopo bank ununue chakula, pia fanyeni research kwanza kabla yakuanza mradi wowote kuepuka hasara. Unapatikana wapi?
Mzee kuku umewabonda sana hawa usipoangalia watadumaa. Anyway hamna chakula cha mkopo braza labda ukaombe mkopo bank ununue chakula, pia fanyeni research kwanza kabla yakuanza mradi wowote kuepuka hasara. Unapatikana wapi?