Baba Richard
Member
- Apr 6, 2014
- 24
- 57
Habari, nina kuku wa mayai 230. Wana miezi minne na wiki moja. Nimekwama kwenye kuwalisha. Bei ni tsh. 10,000 tu kwa kuku mmoja.
Km upo interested nicheck kweny 0787329281
Au km yupo unaemfahamu anayetoa chakula cha kuku wa Layers kwa mkopo tafadhali nifahamishe. Natanguliza shukran
Km upo interested nicheck kweny 0787329281
Au km yupo unaemfahamu anayetoa chakula cha kuku wa Layers kwa mkopo tafadhali nifahamishe. Natanguliza shukran